Recent content by Mac Ali

  1. M

    Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

    Si tunaishi nao ivo ivo,,,,sikiliza ngoma ya chidibenz ft simba la masimba dangote
  2. M

    Nauza mpunga

    Sawa kiongozi tumekupata,naomba kuuliza Gunia moja la mpunga ukikoboa unapata kiasi gani plz naomba kujua
  3. M

    Natafuta mtu wa kufanya naye mazoezi ya kuzungumza kingereza

    Ilo group la WhatsApp liliundwa bandugu
  4. M

    Kufuta namba ya simu ya unaempenda akifariki ni Jambo kubwa, omba yasikufike

    Ni mwaka wa kumi sasa toka nifute namba ya brother R.I.P my brother 😥😥💔💔
  5. M

    Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

    Biashara ya chips mkuu mitaaa ya kinondoni Manyanya
  6. M

    Nauza vifaa vya kufanyia biashara ya chips

    Habari wana JF Nauza vifaaa vya kufanyia biashara ya chips pamoja na locationya kufanyia kazi kama ifuatavyo. 1. Kabati la aluminium ngazi 3 2. Jiko la gesi 3. Kalai 4. Jiko la kuchomea mishikaki 5. Jiko la kuweka malanda 6. Viti vya plastick 7. Mtungi una gesi kidogo yakuanzia Vifaaa vingine...
  7. M

    Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

    Mkuu nilifungua biashara ya chips mjini uko ila mambo hayajaniendea vizuri nimeamua nifunge nianze biashara nyingine tu.. Location Na vifaa naviuza kwa anaehitaji anicheki PM tuyajenge ntamfanyiaa ofa baadhi ya vitu
  8. M

    Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

    Nina wiki ya 2 sasa toka nimefunga biashara yangu ngoja nijipange upya kweli mjini pazito asee🙌🙌
Back
Top Bottom