Habari wana JF
Nauza vifaaa vya kufanyia biashara ya chips pamoja na locationya kufanyia kazi kama ifuatavyo.
1. Kabati la aluminium ngazi 3
2. Jiko la gesi
3. Kalai
4. Jiko la kuchomea mishikaki
5. Jiko la kuweka malanda
6. Viti vya plastick
7. Mtungi una gesi kidogo yakuanzia
Vifaaa vingine...
Mkuu nilifungua biashara ya chips mjini uko ila mambo hayajaniendea vizuri nimeamua nifunge nianze biashara nyingine tu..
Location Na vifaa naviuza kwa anaehitaji anicheki PM tuyajenge ntamfanyiaa ofa baadhi ya vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.