Habari JF Members.
Nimefuuatilia budget ya serekali iliyosomwa leo jioni nini maoni yako kuhusu budget hii? Naona kama inaenda kufanya maisha ya walalahoi kuzidi kuwa nguvu hasa ukizingatia kupanda kwa gharama za mafuta? Wewe unasemaje?
Karibu.
Nasikitika kwamba Ving'amuzi tulivyonunu kwa shinikizo kwamba tunatakiwa kuwa KIDIGITALI havina maana. Nasema hivyo kwa sababu inavyoonekana hii ni biashara ya wakubwa kwa sababu kama tulivyoelezwa na idara ya Mawasiliano tutakua tunaangalia Local Channels bila shida ila nimenza kuwa na wasiwasi...
Habar wana JF,
Nimesikia kwenye vyombo vya habari kua hali ni tete huko Mtwara na watu wameshapoteza maisha na wengine kujeruhiwa.
Waliopo kwenye eneo la tukio mtujuze tafadhali hali ikoje hivi sasa.
Asante
Nakubaliana na wewe kabisa. Kweli limebaki jina tu. Wakati alipokuwepo Prof. Shao mambo yalikuwa mazuri ukilinganisha na mkurugenzi wa Sasa Dr. Ntabaye. Hospital hii haiwajali wafanyakazi wake hata kidogo na watu wanafanya kazi ila mradi siku ipite jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo. Kuna...
Asanteni kwa kunijuza. Lakini jambo hili halitakiwi kufanyiwa mzaha kabisa. Waliohusika wakamatwe wapelekwe mbele ya sheria. Lakini kama ninavyojua Polisi watakuja na mambo kibao hapa. ILA MKONO WA MUNGU UPO kwani hata pasipoonekana panaonekana. Padre Mungu akujalie upone haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.