mto hoja kuwa na huruma hii ni nchi yetu sote...aliyepoteza maisha n mtanzania au kwa sababu sio ndugu yako ndo unaongea ujinga huo....siku moja itakijapoteza ndugu katika maxingira kama haya ndo utaelewa vizuri ulicho kiandika......
Viongozi wa Serikali wanapaswa kutambua kwamba viongozi wa CCM ndio hasa wanaostahili. Kiongozi wa Serikali wa cheo chochote anawajibika kwa viongozi wa CCM,” alisema Rais Magufuli na kuamsha shangwe kutoka kwa wajumbe wa mkutano huo.
“Viongozi wa Serikali katika ngazi yoyote watambue kuwa...
raisi kizindua tawi la benk ni aibu!wazir wa fedha afanye kaz gan sasa?.kilakitu anazindua yeye loo!..hata msiban hajaenda kiafrika msibab n lazima ubize tunaweka pemben....
vile vichwa vilivyotelekezwa bandalini na watu wasiojulikanavimenunuliwa na serikali,sasa najiuliza wamenunua toka kwa nani.....
' Aidha Prof. Mbarawa amezungumzia umuhimu wa kuongeza vichwa vya treni kwa Shirika hilo ambapo Serikali imeamua kununua vichwa 11 vya treni vilivyotelekezwa eneo la...
magu nae ye ndo mkamataji,hizo pesa hazijaibwa sehemu ni za mtu so kinini kinamuwasha,inaonekana jamaa hapendi mtu ukiwa na hela nyingi.vyuma vimekaxa labda hyo pesa ingeingia kwenye mzunguko ingelegeza vyuma hivi...
we paskal unaandika ujinga gan huu..et kutokana na mazuri ya maguful hakuna haja ya kufanya uchaguzi 2020!..hizo kauli uache kabisa kama we unampenda magu ni wew na sio wote...
leo wapinzani wanahongwa na kununuliwa et wanaunga mkono juhudi za raisi,kama anajuhudi ya kazi ni wajibu wake,ila cha ajabu ndiyo raisi wa kwanza mwenye juhudi kubwa toka uhuru sasa sijui huzo juhudi anafanyia wapi mbona binafsi sizion labda tuwaulize wanachato...wanaomuunga mkono kwa kuhamia...
utashi wa kibinadamu na wivu ndo uleta mambo ya mke mmoja ila naamin kiasili mwanaume anatakiwa awe na wanawake wengi tu kama walivyo ndege,ndege wa kiume....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.