Post yako umeiandika kibwege sana swala la maji ni la nchi nzima wala siyo kwa mnyika tu
Pili mnyika hakusanyi kodi angeleta maji kwa pesa yake mfukoni
Tatu wewe unaushaidi gani kama alikuwa mbali na wapiga kura wake?
Nne wewe umeshampata mshindi kabla hata ya tarehe 25 hizo kura zimepigwa...
kiongozi anayejali maendeleo ya wananchi wake daima huwa msitari wa mbele kushilikiana na wananchi wake, kama wewe ni kiongozi uliyechanguliwa na watu na hutaki kushiriki shughuri za maendeleo basi hata kuongoza familia yako huwezi, maana uko kimaslahi zaidi.Siasa ni utaratibu tu lakini kwa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.