Recent content by Mabugamtundu

  1. M

    msaada iphone 6s haicharge

    betri hiko vizuri ni 93% pengine ningejaribu kuupdate ios maana nikizima tu nikiweka charge inawaka lakini bada ya hapo haiingii tena
  2. M

    msaada iphone 6s haicharge

    habari wadau. nina i phone 6s kuna muda inapeleka chaji na kuna wakati haipeleki kabisa yani ni kama inachagua wakati wa kuingiza chaji, ikiwa imezimwa nikiplug chaji inawaka ila ikishawaka tu haipeleki tena chaji inshort ni kwamba chaji ni nzima ila simu haipeleki kabisa... msaada kwa mwenye...
  3. M

    Usaili TRC kufanyika Dodoma tarehe 5 Februari 2022

    Navofaham mm unacertify sehem ambayo utatuma copy ya vyeti vyako ili wao kujiridhisha sasa utumishi huwa tuna upload vyeti original baada ya kuviscan so kwa mantiki hiyo natakiwa nivitoe vile original na niweke hizo copy zilizokuwa certified au?
  4. M

    Usaili TRC kufanyika Dodoma tarehe 5 Februari 2022

    Hivi hii inshu ya kucertify academic certificate imeanza lini? Maana nimeambiwa sijachanguliwa kwa sababu sijacertify vyeti.. maana huwa tunaatach original certificate mwenye idea naomba tusaidiane hapo ili next time yasinikute
  5. M

    Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi Januari 18, 2022

    Shahidi kaulizwa vitu vilevile kwa muda wote alipofika kwebnye point muhimu eti kichwa kinamuuma
  6. M

    Msaada interview za TRC

    Wametoa matokeo ya waliofanya practical jana na juzi
  7. M

    Msaada interview za TRC

    Nafikiri mchakato utakuwa bado uvumilivu tuuu
  8. M

    Msaada wa maelekezo kufika TRC chang'ombe workshop

    Naam nimepata muongozo kesho ni yalambe yalambe
  9. M

    Msaada wa maelekezo kufika TRC chang'ombe workshop

    Habari wana jf nimeitwa kwenye interview trc chang'ombe workshop.. nimefikia ubungo riverside, naombeni mwenye kupaelewa napanda gari la wapi na nashuka wapi mpaka nifike hapo workshop za shirika la reli chang'ombe? Ahsanten sana
  10. M

    Msaada interview za TRC

    Zimefikaaaa
  11. M

    Msaada interview za TRC

    Kaitwa interview ya vitendo
  12. M

    Msaada interview za TRC

    Habari ndugu zangu, Mdogo angu kaitwa interview ya vitendo shirika la reli TRC kwa fani ya equipment operator kwa mwenye ufahamu wanatumia mashine gani kufanyia usahili?
Back
Top Bottom