Nijuavyo mimi lisasi ikipita kwenye mwili lazima itapitiliza sasa kwa mazingira ya dereva alivyokuwa amekaa na risasi zilizopigwa more than 30 ni lazima zingemkuta dereva hata1 sasa naona Kuna utata pia hapo bnafs nasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema hivyo bainisha ni kifungu gan cha katiba kimekiukwa. Na swala kuishitaki inawezekana kama utafata procedures
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maana ya kuandamana wakat lissu ameonyesha hali ya kumjua mhusika Bila hata ya polis kubaini wahusika kwakuwa n issue imetokea kwa futuma? Mnailazimisha polis,.......
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.