Acha Upuuzi wako kwa kuwalinganisha watu wenye hulka sifa na msimamo tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
What do you mean by unfounded action?...such unfounded action by a supposedly high-profiled citizen in the country.
Umsema nini. ?SDA ndio kanisa la kweli
Sio masjidAisee, kumbe ukiwa rais unaweza kusali dhehebu lolote!!!
Ataishia kuvaa kanzu tuHivi alishawahi kwenda kusali Msukitini?
Maana, naona ana juhudi za kusali makanisa ya kila aina.
Habagui, mkulu wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure,isipokuwa kwenye T3UZI na fursa nyingine
Si wanajua ni usanii,na leo atarud ST PETERMsabato wa kweli huwa hakereki kuona muumini wa dini nyingine akienda kusali kanisani hapo bali anafarijika kuona watu wanajirudi sabato. Sasa nashangaa wanaotoa mapovu kuona magu anasali sabato
Si wanajua ni usanii,na leo atarud ST PETER
May Allah bless Me and You
Come on Mbiti!!
Kumbe nawe ni msabato..!!
Ngoja nifikirie tena ule uamuzi wa kuwa msabato
Hao wapo kundi la wasanii.Hakuna cha usanii,mwenye kuufahamu huo usanii ni mhusika mwenyewe hata waumin wa kawaida sio wote wanaoenda kanisani kusali,wengine wanafata mambo yao hapo
Hahahahaaa! Kama aliweza kupiga push ups za ki - jkt na kurukaruka kwenye v8 kwa styles za ajabu sishangai akibadili dini na kuwa Buddha!Hivi alishawahi kwenda kusali Msukitini?
Maana, naona ana juhudi za kusali makanisa ya kila aina.
Habagui, mkulu wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app