Kumekuwa na kudharauliwa sana kutokufwatwa Kwa kanuni na sheria ndogo ndogo za uchimbaji kwenye mikoa yenye uchimbaji wa madini haswa dhahabu Kwa kiwango kidogo.
Mfano hai kumekuwa na Malalamiko sana Kwa RMO wa mkoa wa Lindi kuchukua maamuzi yake Kwa kusikiliza upande moja anaonufaika nao...
Wandugu mimi ninatatizo moja tu nataka nisome nifikie malengo yangu tatizo sina hela ya kuniwezesha kusoma diploma. Nataka niendelee kusomea diploma ya geologia ya madini.
Kwa mwenye kuweza kunipa msaada wa kupata mkopo wa kielimu naomba anisaidie nipate kwani mm sio mwajiliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.