Recent content by MAASO

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi nafundisha wilaya ya rombo tarakea idara ya msingi nataka kuhamia wilaya ya moshi vijijin tarafa ya kibosho,aliye tayari,tuwasiliane, kwa 0686390029
  2. M

    Makabila yanayochukua mahari Kubwa Kutoka kwa mume

    kwetu kikubwa ni makubaliano,anayetaja mahar ni binti so mnaweza mkakubaliana utalipa sh ngap kutokana na uwezo wako we mwanaume,
  3. M

    Wanawake wa kitanzania sijui mkoje yani....mnaboa sana

    jaman heshma itawale,hawa ni mama zetu na tuwaheshim.nakubal wana madhaif yao lakin mkumbuke me na ke ni tofaut kwa mambo mengi
  4. M

    Hivi ITV wako serious kweli??

    itv wako sawa,hata kama walipitiwa
Back
Top Bottom