kidume na ww unataka uanze kuimbiwa birthday 2 u! birth dear joshydama birthday 2 u! km vitoto vya nursey aaaaah! lazima uchezee kichapo tu hakuna namna apo
mtoa mada umenixhangaza xana wiki mbili au zisizidi siku 2,yani ni ile nimepewa jibu naomba cku iyo iyo akigoma narudia tangazo kesho akigoma kexho goo,xaxa akiwa bado mbishi wenda awe ajaniomba pexa ila km amexha niomba kila mtu ale time yake mi titatoaje wakati yako umefugia ndani ya mtajiju...
hahahah! iyo aliitaji kufunga ndoa na kazi ya jamaa co jamaa,yani ningekua mm hakuna mjadala na uyo mke tena km haibu nixhazomewa xn xhulen kwa kuxhika mkia xo iyo itakua marudio tu
mkitembea hadi mkafika muendako bila kusikia kisiiiiiii,au km ya uyo jamaa mnaenda kwa waganga kuoga dawa eti mnamikoc amuitwi mkiitwa matatizo cjui tuwaeleweje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.