Hawa wasanii wabongo wengine wao akili zao zipo mat*Kon,na ndivyo hivyo navyoomwona yyte anayesapoti mbogamboga,basi tu nao wanahaki zao ila ingekuwa uwezo wangu wangekula mawe
Mwenzio labda Hana uwezo wa kukupa mimba na ashathibitishiwa na daktari kisha kipenzi chake anamwambia ana mimba unadhani atafurahi au ataona tu huyu Malaya ananiambia nn
Sasa kichwa senene unafanya nn ofisini ikiwa maji tu tunategemea kudra za Mungu?Hebu ifike sehemu tuweke viongozi wanaotatua tatizo na sio Kuwa matatizo kama hawa,Mm mwenyewe la Saba B ila ningepewe hili jiji watu mngeoga deile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.