Recent content by m_dida

  1. M

    Utata: Uvamizi wa clouds FM

    Tatizo maGT wameisha humu, hawawez kukuelewa na utaishia kutukanwa tu
  2. M

    Roma Mkatoliki na Waziri Mwakyembe waongea na waandishi wa habari

    Ingekuwa vyema angeelezea tukio lake la kukamatwa kwa wimbo badala ya mkutano, maana yeye n msanii, angetumia sanaa yake vyema kuelezea utekwaji huko
  3. M

    Bashe: Kuna kikundi ndani ya Idara ya Usalama (TISS) kinahusika na utekaji. Wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa

    Hakuna mtu mbaya kama mnafiki, unajiona uko naye kumbe anaagenda ovu na wewe. Kwel kikulacho kinguoni mwako. Hawa ss ndo watu wanaotakiwa kung'olewa kucha/meno bila ganzi sio wakina ROMA na NAY, wale wanatafuta kiki tu za mjini na vihela kiduchu
  4. M

    Nisaidieni jinsi ya kumpata huyu mwanaume

    Wewe kumzidi kipato inaweza kuwa sababu ya yy kukaa mbali hata kama anaziona dalili ya mapenzi yako! Way forward ni kumueleza ukweli, Naamini atakuelewa, halafu hakuna kitu kizuri kama kutongozwa na demu mzuri,muelewa,mshika dini,mwenye pesa zake,comees from good family,na anamapenzi ya dhati...
  5. M

    Jiwe la Msingi la reli mpya ya SGR Dar-Moro kuwekwa tarehe 12 Aprili 2017 na Rais John Magufuli

    Wazo zuri, ila mm ningeshauri hata TBA waunde kikosi maalum cha ujenzi wa reli ambao watashiriki katika huu mradi, ili ukikamilika TBA wawe na wataalamu wakujenga branch zoote za reli hii Later on hicho kikosi kazi kinajitoa kinaundiwa public company ambayo itakuwa inahusika kujenga relii...
  6. M

    Ununuzi wa ndege za Boeing: Serikali iwe wazi vinginevyo sijui...

    WaTZ tusiwe watu wakulialia kila siku, sometimes tunatakiwa vitendo vinatakiwa vionekane! Hata EL alilisema hilo kama rais naye atakuwa analalamika kuhusu sheria ya tender ilivo itakuwaje, Sasa JPM kaamua kuonyesha mfano, ameacha maneno anafanya vitendo viongee! Acha ndege ziendelee kumiminika...
Back
Top Bottom