Recent content by M2WAWA2

  1. M2WAWA2

    wamasai wakizaliana ngorongoro kuna mpango gani dhidi ya ongezeko lao?

    kwamba wanyama ni bora kuliko wamasai? kwamba waarabu ni bora kuliko wamasai? Je hao wanyama wa ngorongoro wanafaida gani? hifadhi inaingiza poto kiasi gani?
  2. M2WAWA2

    Huduma benki ya CRDB ni mbovu sana

    Hivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb? Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri. Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
  3. M2WAWA2

    Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

    Hakuna kesi hapo, Mahakamani wanahitaji ushahidi usio na shaka, jamaa ajipange kutoa uthibitisho wa kushiriki na kushinda hizo betting.
  4. M2WAWA2

    Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

    Kwenye mambo ya ndoa, subiri usikilize ya upande wa pili. Nina amini mwanaume sio kichaa
  5. M2WAWA2

    Simiyu: Mkuu wa Mkoa athibitisha kifo cha Mtu mmoja katika Maandamano ya Busega

    Hivi ile style ya kumshukuru mama imeishia wapi? Haya mitano tena kwa mama
  6. M2WAWA2

    Mwanandoa ukigundua mwenza wako hakuridhishi kwanini usiombe talaka uende kwa anayekuridhisha?

    Watu mmesoma kwa shida ajira mnatafuta kwa shida biashara, mitaji kwa shida mahusiano nayo ya shida!! Bro utapumzika wapi?
  7. M2WAWA2

    Nilichomfanyia mwenye nyumba wangu hadi majirani wamenipongeza

    Mbinu nyingine ni kuhakikisha unatoka na huyo mjane, ili uwe baba wa kufika wa hao vijana. Halafu unaanza kuwapangia zamu ya usafi kila mtoto. Unawapa nguo zako wakufulie, Una hakikisha wanaondoka wakajitegemee
  8. M2WAWA2

    Naomba kujuzwa taratibu/masharti yanayoandikwa Guest House au Lodge

    Mashaert yanaweza kuwa kwenye maeneo haya: 1.Bei 2.Muda wa kuingia & kuondoka: 3.Kuharibu, Kuvunja mali 4.Ufunguo kupotea: 5.Maegesho: 6.Marufuku Kuvuta Sigara,pombe 7.Makelele vyuumbani
  9. M2WAWA2

    Jennifer Lopez kufungua shauri la kudai talaka ya Ndoa yake ya 4

    Usisahau mwanaume anapo taka kuoa, huwa makini sana. Hao wanao oa watu maarufu,pesa, uzuri wanao na wanajua hapa ndoa hakuna. wanatafuta maslahi binafsi, ya pesa na umaarufu pia.
  10. M2WAWA2

    Aliyedai kuvunjwa mguu na kigogo wa Polisi Arusha, adai kutishiwa maisha

    Yaan ukiwa polisi au Mjeshi ni lazima kuwa na tabia, akili ya kutisha tisha watu? Au kwa sbb ya uwepo wa awamu dhaifu?
  11. M2WAWA2

    Je, Unajua kuwa kutikisa makalio kwa lengo la kumtega mtu ni unyanyasaji wa kingono? Jifunze hapa juu ya unyanyasaji wa kingono

    Nyakati zimebadilika sana, Muda wa kuangalia makalio uko wapi? (sasa hata ukiona hayatishi) Mtu hata akivaa nguo fupi kuliko chupi, (wala hayatetemeshi tena? Makalio, shape, sura sio kitu zama hizi, pitia mitaa ya tiktok, facebook,nk nkyapo ya kutosha ni bando lako tu.
  12. M2WAWA2

    Nimemfumania mke wangu na mwanaume mwingine, nimemwambia arudi nyumbani amekataa. Nifanyeje?

    MKE WANGU ANANISUMBUA BABU: Denis! Denis! Mbona umejiinamia mjukuu wangu, kulikoni? DENIS: ...Oooh! Acha tu Babu...Mke wangu ananisumbua sana...kwanza shikamoo Babu... BABU: Marhaba mjukuu wangu Denis....Tazama ulivyotingwa na mawazo mengi kichwani. Pole sana Denis... Tatizo ni nini? DENIS...
Back
Top Bottom