Suala la ujangili sio suala jepesi la kuzungumziwa kwa fikra nyepesi na kutatuliwa kwa hoja nyepesi wakati majangili wanatumia mkakati maalumu, wamejidhatiti kifikra, afya na dhana. Maswa sio sehemu nyepesi katika kuzuia ujangili kihistoria. Watumishi wamekuwa wakikumbana na changamoto kubwa...
kibaya ni kwamba katika mataifa masikini kuna idadi kubwa ya watu wasiofikiri vizuri na wachache wenye nafasi ya kufikiri vizuri wamepooza ubongo. Tanzania ni kati ya hizo nchi ndio maana uzoefu sio changamoto ya maendeleo hapa kwetu na historia haijawahi na haitawahi kuwa mwalimu mzuri kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.