Samahani kama wanaume sote ni mboga ww ni mtoriro umelegea ninyama unalala na kunadilisha nguo na binti chumba kimoja kweli idadi Ile Ile ila wafanyao kazi tuko wachache mno
Mwisho atasema wakuu wa mikoa hawana kazi wanatumia pesa bure kwa kazi zinazofanywa na wakuu wa wilaya maana anataka kuaminisha hakuna Dar es salam bali kuna ilala na manispaa nyengine zenye arthi rasmi
Nawaza hivi kuna Parasetamo inayomfaa mzungu kwa sasabu anaishi kwenye baridi na ya Mtanzania anaeishi kwenye joto ? Ukijifanya unajua sana mwisho unasahau kuficha ujinga wako si hao hao waliokua wakiumwa wanakimbilia uko kwenye baridi kutibiwa
Mwambieni Ndugai kua hua hatuperuzi Bali Tunatandika mikeka ndo ajira zetu zilikobakia huko ambako unakutana na mshahara wako kwa mujibu wa ongezeko la timu tu. Yaani kule tunajipangia wenyewe. Kama wao hawana ajira za kutupa.
NB : na akija kuleta Uzi kua mwanamke alimpa mtaji wake wa samaki kaula na dume jengine Nadhani kitachoandikwa hapa huu Uzi ataujutia maisha yake kwa mawazo yako ulompa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.