Wakuu, vipi biashara ya kuonyesha mpira iko na soko sana, au ndio kila mtu anamiliki Hissen na TCL 75"
Kama iko na soko, wadau wanahitaji sana Kuwe na TV au Projector 📽️ ndio yenyewe!?..
Kuna biashara ya genge, unaweza jenga kibanda, kwa hiyo hela na kuaanzisha biashara hiyo,
Sehemu za mipango, unaweza kuuza maharage.
Pia kuna biashara ya kuuza chapati, maeneo ya mipango,
Kuanzisha mnada mpya hapo, unaweza fnya kitu hila hakikisha unapata sehemu nzur ambayo iko barabarani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.