Hahaha duh! mimi mkurya wa kenya ila nipo poa sana .nipo nairobi afu kwa uromantic wangu napewa mzigo hata na wazungu may be wakurya wa mugumu, mara,tarime, sirare ,mosoma ila si wa kenya si mchezo
Love is not sex and sex is not love.
you can have sex with someone whom u dont love wengi ni njaa tu unagonga na kusepa motokeo ndo kama hayo unayazungumzia
Kaka ukifuatilia maisha ya kuku hutamla ...wanawake watatupandisha chumvi mwilini bure...kinachotakiwa usijali nani aliogelea mbele yako nani anaogelea na ninani atakayeogelea bada na kabla ya wewe .play safe ndugu yangu
Pole kiongozi ilikuaje tena? alikubwaga nini?
sasa karibu kenya ujipatie new brand kitu kimeenda chuo, kina mguu wa bia hahahaha mke nyonga afu badae utashukuru wana staha si mchezo!
Duh!
Asee mie nipo kenya kuna watoto wakali kishenzi kutoka kabila la wakamba noma sana . nina moja anaitwa mutheu ...kitu cha kuotea mbali kwa ujumla wakamba kimaumbile na tabia wako poa . tanga wanazuga tu.nakuja likizo ivi karibuni kama vipi ntakuja nao.
wakamba wamejaliwa afu kwao kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.