Mbona JK kamfunga babu sea na ana wake wawlwawl kla mkoa na watt ambao hawajui ila yy hakosei wengne ndo malimbuken ww wanawake? Ccm ckio la kufa wote vcheche na ndo maana hii serkal wakuu wa mikoa,wilaya wakurugenz weng magoma yao ziaran wanajipooza tu na mbona lowassa kampa ukuu wa wilaya wa...
Ngoja nianze kukujbu mm papa km hujui n rais wa vatcan na hakuna kiongoz mwenye nguvu kubwa kiutawala km yy coz dunian kote ana wafuas kidini,hvyo ajapo kiongoz wa taifa jngne akija nchn kwetu haimaansh yy n mkubwa wa nch bal nch yetu humpa heshma tu na ukaguz ule n moja ya heshma ndo maana...
Kaka usichukulie masuala ya nchi km ya familia yenu rais wa nchi popote atakapokuwa lazma awe mgen rasm hyo ndo protoko sasa kwa hl inaonyesha waz ya kuwa tanganyka n mwali wa zanzbar yaan rais wa JMT n mpambe
Magazeti yanachagua rais? Kilichobaki wamwage sera tu za ana kwa ana kwa wagombea iwe live uone itakuwaje halafu washirk weng wa mitandaoni ni mafisadi wanyonge wengi hawafiki huko zaid husoma udaku tu subir vjana wapge kura
Lusungo sijui hlo jina lako la kike au la kiume hvyo nashindwa nikuiteje lkn mambo vp? Kwanza acha Udini cha pili hujui nn maana ya siasa na dini ni nn cha tatu Suala la Katiba haliusiani na Siasa km una akili timamu huwezi soma tena uliyoyaandika.
Nmesikia kaenda kufungua daraja wkt magufuli yupo ndo maan hawataki katiba mpya ya UKAWA kisa rais atapunguziwa madaraka sasa ona anayofanya tatizo ni udkt wa kupewa bila kusomea....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.