Jaman naomba kujuzwa kuhusu gundi zenye nguvu na zinazonasa haraka (powerful and fast glue) kama superglue miongoni mwa materials zilizoainishwa kuwa inaweza kunasa ni pamoja na zilizounda pakiti yake.
Ni kwanini haifanyi kazi hiyo inapokuwa ndani ya pakiti.
Yaa kwan hata wakichukua mtu mmoja sijazidi moja mie ndo unambie 10% tena uhakika m2pu we nijalie tarehe ya usaili tu au kwa uzoefu huwa inachukua muda gan toka deadline ya ku2ma application had usaili?
Ndugu yangu STRESS si shda bt the issue iz how to supress, hata mtu anaponusulika kugongwa na gar anacho kipata pale ni STRESS, kwa kuwa hakugongwa bas STRESS huondoka muda mfupi baadae yaweza kuwa hata baada ya dakka 2. Hvo shda ni ikiwa utakaa na STRESS muda mref waweza ingia hal inayoitwa...
1. Issue hapo ni STRESS(msongo wa mawazo) hali hii huweza pelekea kukosa usingzi au kulala kupta kiasi pia STRESS hupelekea mtu kukosa hamu ya kula au kula kupita kiasi hivo mtu mwenye STRESS huweza kukonda au kunenepa waweza shangaa it iz too psychological 2. Pili ni...
Ngonyan hata kama huna jibu la nilchotaka kukifaham bt lengo langu umelipata vzur sana mlcho tofautiana na huyu bwana ni uwezo wa kufikiri na busara kwan kaelekezwa arejee mada yeye kang'ang'ania kucomment bila kusoma mada ni wengi sana nchi hii hakka 2nasafar ndefu....
Ebwana poa yote hii ni kuepuka kuchanganya habar kwan waweza chukua tenda kwa m2 tareh 10/9 halaf usail ukawa tareh 28/9 na tenda ilibid iende mwez mzma had 10/10 na zaid cjajua early baada ya usaili utaratbu unakuaje!
Kwa mwenye uzoefu (experience) plz naomba kujuzwa usaili kwa waombaji elimu ya juu huwa unafanyka baada ya muda gan tokea deadline ya kutuma maombi ambapo kwa mwaka huu ilkua31/8. Welcome...
Hapo ndugu yangu deal na fungus na siyo harufu hata ukibadilsha ngoz yaweza isisaidie kwan we sio mchafu kama waweza badili soksi had mara2 tatzo ni bakteria hvo anza nao hao na pia badil mazingra yanayo wavutia kama miguu kuwa na unyevu muda mrefu hasa utokanao na kuvaa viatu muda mrefu.
Tafadhali kwa mwenye uelewa juu ya hili aniandikie kiasi cha ada kwenye chuo husika kwa hapaTz. Nahitaj kufanya masters bt Kufanikisha hil kwangu uchumi ni kikwazo plz..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.