Recent content by M.E.M.A

  1. M.E.M.A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante sana mkuu. Tayari nishafanya yangu. Mwenye mkeka sasa nicopy.. 🙈🙈🙈
  2. M.E.M.A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hahaha. Nimepekua wee naona vitu vya ajabu tuu..
  3. M.E.M.A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu, naomba link ya kuingia meridian.
  4. M.E.M.A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole kwa kuchelewa mkuu. Nimekujibu inbox. Ila pia ingia hapa http://www.m-bet.co.tz/ Shida yao huwezi kuvuta mpunga zaidi ya M3.
  5. M.E.M.A

    Bongo movies...

    Hahahahaha....
  6. M.E.M.A

    Bongo movies...

    Halafu anachagua pa kuangukia..
  7. M.E.M.A

    Nimerudi mwana mpotevu

    Duh! Basi tutakuwa wana wapotevu. Pole na hongera kwa kuwa busy.
  8. M.E.M.A

    Nimerudi mwana mpotevu

    Nimemuona mkuu.
  9. M.E.M.A

    Nimerudi mwana mpotevu

    Hahahaha. Kila nikiikumbuka nacheka sana. Kuacha usingizi na kupindua shuka si mchezo.
  10. M.E.M.A

    Nimerudi mwana mpotevu

    Asante mkuu. Ndibalema yuko wapi..? Nimekumbuka story yake ya kuota na kugeuza shuka.
Back
Top Bottom