Hiyo nzuri wao CDC ni level ya ngapi? Unajua kujua sana nako ni ugonjwa, acha nchi iendelee Rais ana majukumu mengi, kuna watu wanakufa kila kukicha kwa magojwa hayahaya tunayosumbuka nayo so hatuwezi kudeal na ugonjwa mpya wakati tahadhari ya mengine kila uchao tunapambana nayo, let COVID 19...
We jamaa umelewa ulaka!hebu piga chafya kwanza kuufungua ubongo wako unaonekana hata kwenu umesoma peke yako sasa unataka kuleta ujinga wa familia yako na humu,tafuta source of medidicine kabla hujaja kuuliza madalaka kwenye medicine soma hx ya kwann pamekuwepo na MD,NURSE,PHARMACIST NA MENGINE...
Unajua tutatafuta na kujifanya tunajua mambo mengi mabaya kwa sekta ya afya,tuwe wawazi kabisa hii ni njaa tu inasumbua watumishi wengi,unaongelea madaktari wawechini ya manurse na wafamasia hivi unajua nurse na mfamasia hawasomei udaktari?ila daktari anasomea vyote hvyo ndani ya kozi yake? Na...
Hapo chief umeongea point husika, yaan ukiwa na bima no services lakini pt user fee services available hapo directly tunatupia lawama kwenye bima, labda nikufafanulie kidogo,unajua hizi bima zote zinakua na kelele kwa sababu zifuatazo;watoa huduma wanatoa huduma hzo but malipo yao stahiki...
Unapoint lakini nadhani hujaiweka kwenye usahihi,nadhani bima hapo hazina matatizo ila pia nadhani ungeuliza inatokeaje kuwa na bima halafu unaambiwa dawa hakuna?tatizo hapo litakua ni dawa wala sio bima na hilo tatzo sio kwako tu ni kwa sehemu kubwa hasa zinapotumika bima za iCHF ndio mambo...
Yanga yenyewe sio team ni club ndio maana kwa sasa hakuna team itakayokaitisha ikaondoka na ushindi mbele ya yanga sasa ww unaejiita unateam pambana na team yako tuache wenye club tuendeleze ubabe,et namungo na azam hata soo huoni pata haja kubwa ukalale naona imekubana
Unahitaji zawadi kwa maneno ya hekima mkuu,mawazo pevu sana hayo,maisha yetu yako kwa mungu pekee lakini kupitia madaktar maisha na afya zetu vinaimarika,so kuwa na mabadiliko ya policies kwenye wizara ya afya ni jambo busara sana,kwa watumishi na wahitaji wa huduma za afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.