Recent content by Lycaon pictus

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Kwa nini upige watu na umeshawafunga pingu?
  2. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Walimu wapunguza siku za kufanya kazi hadi 3 kisa mishahara kuwa midogo

    Huu mgomo umekaa vizuri. Tunakuka job kulingana na unavyotulipa.
  3. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Uchaguzi wa Marekani: Trump ahaidi kuwalipa Wamarekani Republicans wakishinda

    Ukitafuta maraisi watano wapumbavu zaidi kwa sasa duniani, Trump hawezi kukosa.
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kwanini Congo haiwezi kupata amani milele

    Sema milele parefu sana.
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Summercliff: Masheikh mnaotaka tuombee El Niño bila kutubu damu iliyomwagika Oktoba 29 bila hatia, ni unafiki

    Wanataka kupiga hela. Toka lini El Nino ikaombewa. Wanhefanya kampeni ya kwenda kuzibua mifereji wangeeleweka sana.
  6. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Lissu inabidi aukatie rufaa uamuzi mdogo ili mashahidi muhimu anaowataka waje mahakamani

    Lazima nikuhoji. Pengine umenifananisha na si mimi niliyekupiga.
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kukatika kwa umeme kwazua kizaazaa Gambia, raia waandamana nchi nzima, Rais aomba radhi

    Watu wamechoka kufanywa wajinga.
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Yah, tungeboresha hiyo tungekuwa na uwezo mkubwa sana wa bandari
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Hilo la kuegesha nalo muhimu. Ila hayo maeneo nimeweka ni maeneo ya ardhini tu kwa bandari hizo. Nchi zingine wanayatumia kama EEZ
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Kabisa. Ingekuwa moja ya bandari kubwa sana Afrika. Pengine tujenge nyingine.
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Nilikuwa naona kama watu wa bandari walafi tu wa eneo. Ila ukilinganisha na bandari zingine, bandari ya Dar ina eneo dogo sana. Bandari kubwa(kwa mizigo) zaidi Afrika ni ya Tangier, Morocco. Ina eneo la ardhi la ekari 2,500. Bandari ya Mombasa, Kenya ina jumla ya eneo la ekari 3,000. Ban mydari...
  12. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hata angevaa ramani ya Tanzania hamshawishi mtu kuwa rais Tanzania

    Wanamwita Rais wa mawe.
  13. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Pwani siku zote ndio huwa inatawala na kuwa na mamlaka bara, ujanja huanzia Pwani

    Mbona iliiteka Ufaransa unayosema ya kipwani? Na karibu iidunde Uingereza kama siyo msaada wa US
  14. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Pwani siku zote ndio huwa inatawala na kuwa na mamlaka bara, ujanja huanzia Pwani

    Ujerumani si taifa la kipwani.
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya refinery ya Dangote.

    Dangote ameiheshimisha sana Afrika. Refinery yake kwa sasa inachakata mapipa 700,000 kwa siku. Kwa miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu imetengeneza faida ya dola 1.8 bilioni. Kwa mwezi huu na mwezi ujao watauza hisa. Inaingia sokoni kama kampuni ya gharama zaidi kuwahi kuuza hisa Afrika. Gharama...
Back
Top Bottom