Upo sahihi. Adhabu ya milele ni kufa milele. Pia Jehanamu lilikuwa dampo la taka huko Yerusalem, hadi leo hiyo sehemu ipo. Yesu alikuwa anamaanisha watatupwa na kuchomwa kama takataka.
Dawa hii imekuwa mkombozi sana kwa watu wanaotaka kupunguza uzito. Kwa sababu ya bei ilikuwa inapatikana kwa matajiri tu. Karibuni walisema brands mbalimbali za bei rahisi zitaanza kupatikana. Zimetufikia maana naona na mastaa wa bongo wanaanza kukonda ghafla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.