Recent content by Lycaon pictus

  1. Lycaon pictus

    Hadithi: Umslopogazi na Nada

    Mopo awa mganga wa mfalme Basi babaangu hayo ndiyo matukio yaliyotokea mpaka mimi na Dada yangu tukaishi kwenye boma la Chaka, Simba wa Wazulu. Pengine utauliza kwa nini nimekukalisha muda mrefu kukusimulia kisa hiki, kisa ambacho hakina tofauti na visa vingine katika maisha, huko mbele...
  2. Lycaon pictus

    Hadithi: Umslopogazi na Nada

    ‘Sababu ni mzuri ee chifu!’ Nilijibu kwa ujasiri, ‘Pia sababu ninampenda, ombi langu kwako ni umuachie maisha yake.’ ‘Mgeuzeni huyo binti nimuone,’ alisema Chaka. Askari wake walimgeuza naye akauona uso wa Baleka. ‘Kwa mara nyingine mwana wa Makedama haujaongea uongo. Nimekubali ombi lako...
  3. Lycaon pictus

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Motsepe ni kiongozi wa kiafrika hasa. Yuko na ufala sana.
  4. Lycaon pictus

    Hadithi: Umslopogazi na Nada

    Mara tukawaona wanajeshi wakitokea ukingoni. ‘Mnaogelea siyo,’ alipiga kelele mmoja wao. ‘Mtazama, na msipozama tunapajua mahali pa kuvukia, tutawakuta na kuwaua—hata kama itatubidi kwenda mpaka kwenye ukingo wa dunia ili kuwakamata tutafanya hivyo.’ Alisema hivyo na kuturushia mkuki ambao...
  5. Lycaon pictus

    Hii ndiyo sababu wanaume huwa hawaanguki mapepo

    Wakati wa utawala wa Ujerumani kuna mzungu alikuwa anafanya utafiti wa desturi za Waswahili. Aligundua hili kuhusu mapepo yanayowapata wanawake. Ilionekana kuwa wanawake wanajidai kupata mapepo ili kupima upendo wa waume wao kwao. Mapepo yalitolewa kwa sherehe. Hivyo mwanamke ambaye alifanyiwa...
  6. Lycaon pictus

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Yanaweza kuja kurudi kwa kasi. Wajanja hawaiti watoto wao Jayden.
  7. Lycaon pictus

    Hadithi: Umslopogazi na Nada

    Alifikiria kidogo kisha akasema, ‘Nitaenda nawe kaka yangu. Maana ni wewe pekee ninayekupenda kati ya watu wetu. Lakini naamini huu ndiyo utakuwa mwisho wangu—unanipeleka kwenye kifo.’ Wakati ule sikuyafikiria sana maneno yake, lakini hapo baadaye yalinirudia. Basi tukatoroka pamoja na Koozi...
  8. Lycaon pictus

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Huyu jamaa huwa wanamuonea sana. Kiukweli hayupo sawa kichwani, anahitaji matibabu ya akili/kisaikolojia na si kumtupa jela kila siku😭
  9. Lycaon pictus

    Rais ajaye wa kutoka bara awe na degree ya Historia!

    Anatakiwa ajue hesabu. Ngumu sana kuongoza na kuleta maendeleo kama hufahamu hesabu.
  10. Lycaon pictus

    Unalitambuaje godoro feki?

    Kuna watu hawaamini ugumu unaweza kuwa tatizo.
Back
Top Bottom