Mopo awa mganga wa mfalme
Basi babaangu hayo ndiyo matukio yaliyotokea mpaka mimi na Dada yangu tukaishi kwenye boma la Chaka, Simba wa Wazulu. Pengine utauliza kwa nini nimekukalisha muda mrefu kukusimulia kisa hiki, kisa ambacho hakina tofauti na visa vingine katika maisha, huko mbele...
‘Sababu ni mzuri ee chifu!’ Nilijibu kwa ujasiri, ‘Pia sababu ninampenda, ombi langu kwako ni umuachie maisha yake.’
‘Mgeuzeni huyo binti nimuone,’ alisema Chaka. Askari wake walimgeuza naye akauona uso wa Baleka.
‘Kwa mara nyingine mwana wa Makedama haujaongea uongo. Nimekubali ombi lako...
Mara tukawaona wanajeshi wakitokea ukingoni. ‘Mnaogelea siyo,’ alipiga kelele mmoja wao. ‘Mtazama, na msipozama tunapajua mahali pa kuvukia, tutawakuta na kuwaua—hata kama itatubidi kwenda mpaka kwenye ukingo wa dunia ili kuwakamata tutafanya hivyo.’ Alisema hivyo na kuturushia mkuki ambao...
Wakati wa utawala wa Ujerumani kuna mzungu alikuwa anafanya utafiti wa desturi za Waswahili. Aligundua hili kuhusu mapepo yanayowapata wanawake.
Ilionekana kuwa wanawake wanajidai kupata mapepo ili kupima upendo wa waume wao kwao. Mapepo yalitolewa kwa sherehe. Hivyo mwanamke ambaye alifanyiwa...
Alifikiria kidogo kisha akasema, ‘Nitaenda nawe kaka yangu. Maana ni wewe pekee ninayekupenda kati ya watu wetu. Lakini naamini huu ndiyo utakuwa mwisho wangu—unanipeleka kwenye kifo.’
Wakati ule sikuyafikiria sana maneno yake, lakini hapo baadaye yalinirudia. Basi tukatoroka pamoja na Koozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.