Recent content by Lycaon pictus

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mungu mwenye huruma anataka kutuchoma siku za mbeleni?

    Upo sahihi. Adhabu ya milele ni kufa milele. Pia Jehanamu lilikuwa dampo la taka huko Yerusalem, hadi leo hiyo sehemu ipo. Yesu alikuwa anamaanisha watatupwa na kuchomwa kama takataka.
  2. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mungu mwenye huruma anataka kutuchoma siku za mbeleni?

    Siyo haki kumchoma moto milele mtu sliyetenda dhambi kwa miaka sabini. Ukweli ni kuwa hata biblia haifundishi kuwa watu watachomwa milele.
  3. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    Pia wazungu nao wamechangia kuwapindua na kuwaua viongozi wa Afrika waliothubutu kuendeleza/kuzipenda nchi zao. Hili ni kweli na lina ushahidi.
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    More likely shameless beggars
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Profesa aliyejiuzulu chuo cha Cambridge, Jason Arday akutwa amefariki ndani

    Jamaa atakuwa alikuwa na matatizo ya akili. Uongo wake ulizidi.
  6. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Siku hizi watu wanakatiwa umeme!?
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Vijijini na imani za Kishirikina.

    Itakuwa
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Vijijini na imani za Kishirikina.

    Ujinga tu umekujaa. Kubeua yai viza inatokana na food poisoning. Inaitwa sulphur burp. Yai viza nalo lina gesi ya hydrogen sulphide.
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Ozempic ya kupunguza uzito imetufikia bongo?

    Dawa hii imekuwa mkombozi sana kwa watu wanaotaka kupunguza uzito. Kwa sababu ya bei ilikuwa inapatikana kwa matajiri tu. Karibuni walisema brands mbalimbali za bei rahisi zitaanza kupatikana. Zimetufikia maana naona na mastaa wa bongo wanaanza kukonda ghafla.
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Mikoani kila wilaya na miji ina stand yake. Hakunaga stand ya mkoa. Kwa nini wilaya za Dar Es Salaam hazina stand zao?
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Mwambie kesho mkutane. Akichelewa hata dk 5 ondoka. Akiuliza sema uliona anachelewa. Atachange.
  12. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania WaTizii, Tusikubali kudharauliwa na matajiri kwa jeuri ya pesa zao ili kujenga keshima, Je tuwe masikini jeuri kuwakatalia, kama enzi za Nyerere au?

    Nchi ikiwa masikini jeuri watakaopigika ni raia. Kama kule Zimbabwe.
  13. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Wakuu wa TBS na TMDA za Rwanda na maafisa kadhaa wameswekwa ndani kwa ajili ya hili sakata la gongo feki.
Back
Top Bottom