3 Kumkemea Mwizi
iliyotolewa tarehe 28, Februari, 1979
Ndugu Wananchi,
Nawataka radhi kuwasumbueni tena. Nilidhani ni vema niitumie nafasi hii kueleza hali ya mgogoro wetu huu unaoendelea na jirani yetu. Na hasa nilitaka kuwatoeni wasiwasi, kutokana na maneno mengi mengi yanayosemwa-semwa...
Ukoloni
9, Desemba, 1978.
Ndugu Wananchi,
Leo ni siku ambayo Tanzania Bara inatimiza miaka 17 tangu tumejikomboa na ukoloni. Kwa kawaida siku kama ya leo huwa tunafanya sherehe kubwa nchini kote na hapa Dar es Salaam huwa tunafanya Gwaride Rasmi ambalo huwa linakaguliwa na Rais wa Jamhuri ya...
Watu hulalamika kuwa kama Mungu yupo mbona kuna kuteseka na kuoneana sana hapa duniani? Hii inatokana na kudhani kuwa Mungu anatakiwa awe mwema.
Kuna ulazima wa Mungu kuwa mwema? Kwani akiumba watu ili awatese anakuwa amefanya kosa gani? Kwani sisi kuna mtu anatupangia kutumia vitu tulivyounda...
Ghafi na processed hazina maana sana kwenye dhahabu. Dhahabu inapimwa kwa purity/carats. Unaweza ukaokota dhahabu mtoni ikawa pure kuliko iliyopita refinery. Na ikawa pure kuliko ya kwenye vito maana ya kwenye vito huongezewa madini mengine ili iwe ngumu.
Hiyo ghafi na processed ni mbinu tu za...
Vibali vya dhahabu ni complicated na vina masharti mengi. Mtanzania wa kawaida si rahisi kununua. Bidhaa zote ambazo serikali inategemea kuexport kupata pesa za kigeni zina masharti mengi ili mtanzania wa kawaida asiweze kununua. Vitu kama dhahabu, kahawa, korosho, cocoa nk. Huwezi tu kwenda...
Achana na mapambo kwa sonara. Kuna duka unaweza kwenda na kununua dhahabu? Kwa wenzetu unaingia sehemu unakuta wanauza dhahabu kama coins au bars. Unanunua kama bidhaa zingine. Unaweza nunua online pia. Bongo serikali ikikukuta na dhahabu haina "vibali" ni kesi ya uhujumu uchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.