Recent content by Lycaon pictus

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mariah Carey atoa remix na Civilian-Coin

    Wimbo mkali sana
  2. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania CIVILIAN-COIN (born Deo Kisandu), full story of his new career in Journalism, Music career and digital graphics pro

    Deo kaamua kujiundia fan page🤣🤣🤣
  3. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi yetu Ya Tanzania Inavyoporomoka

    Juzi tu kilo ilikuwa 6,000. Ningejua ningekula nyama milo yote, siku zote.
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi yetu Ya Tanzania Inavyoporomoka

    Hilo lingekuwa na faida kwetu, tuzalishe na kuuza zaidi.
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Mwalimu Nyerere wakati wa vita vya Kagera

    3 Kumkemea Mwizi iliyotolewa tarehe 28, Februari, 1979 Ndugu Wananchi, Nawataka radhi kuwasumbueni tena. Nilidhani ni vema niitumie nafasi hii kueleza hali ya mgogoro wetu huu unaoendelea na jirani yetu. Na hasa nilitaka kuwatoeni wasiwasi, kutokana na maneno mengi mengi yanayosemwa-semwa...
  6. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Mwalimu Nyerere wakati wa vita vya Kagera

    Ukoloni 9, Desemba, 1978. Ndugu Wananchi, Leo ni siku ambayo Tanzania Bara inatimiza miaka 17 tangu tumejikomboa na ukoloni. Kwa kawaida siku kama ya leo huwa tunafanya sherehe kubwa nchini kote na hapa Dar es Salaam huwa tunafanya Gwaride Rasmi ambalo huwa linakaguliwa na Rais wa Jamhuri ya...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ati wachumi hii imekaaje?

    Sonara kazi yake siyo kuuza dhahabu. Na huko minadani huendi tu kununua kama unaenda kununua mchele. Vibali vinahitajika na uvilipie.
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kuna ulazima wa Mungu kuwa mwema kama ambavyo Ukristo na Uislamu unahubiri?

    Watu hulalamika kuwa kama Mungu yupo mbona kuna kuteseka na kuoneana sana hapa duniani? Hii inatokana na kudhani kuwa Mungu anatakiwa awe mwema. Kuna ulazima wa Mungu kuwa mwema? Kwani akiumba watu ili awatese anakuwa amefanya kosa gani? Kwani sisi kuna mtu anatupangia kutumia vitu tulivyounda...
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ati wachumi hii imekaaje?

    Ghafi na processed hazina maana sana kwenye dhahabu. Dhahabu inapimwa kwa purity/carats. Unaweza ukaokota dhahabu mtoni ikawa pure kuliko iliyopita refinery. Na ikawa pure kuliko ya kwenye vito maana ya kwenye vito huongezewa madini mengine ili iwe ngumu. Hiyo ghafi na processed ni mbinu tu za...
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Wacha yawakute. Nikiotea hela naenda zangu kudaka Xiomi Yu7. Magari ya magharibi kwa sasa ni ya kikale sana.
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Watakatifu wanangu.
  12. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ati wachumi hii imekaaje?

    Vibali vya dhahabu ni complicated na vina masharti mengi. Mtanzania wa kawaida si rahisi kununua. Bidhaa zote ambazo serikali inategemea kuexport kupata pesa za kigeni zina masharti mengi ili mtanzania wa kawaida asiweze kununua. Vitu kama dhahabu, kahawa, korosho, cocoa nk. Huwezi tu kwenda...
  13. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ati wachumi hii imekaaje?

    Haiwezekani. Nchi inahitaji iuze hiyo dhahabu ipate dola. We kuiweka benki ni kama unakwamisha nchi.
  14. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ati wachumi hii imekaaje?

    Achana na mapambo kwa sonara. Kuna duka unaweza kwenda na kununua dhahabu? Kwa wenzetu unaingia sehemu unakuta wanauza dhahabu kama coins au bars. Unanunua kama bidhaa zingine. Unaweza nunua online pia. Bongo serikali ikikukuta na dhahabu haina "vibali" ni kesi ya uhujumu uchumi.
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haifai: Mtu akikueleza tatizo usikimbilie kumshauri.

    Mheshimu sana daktari unayemueleza ugonjwa kisha anaanza kukuna kichwa au kufungua mavitabu.
Back
Top Bottom