Recent content by Lyaule Kitundu

  1. Lyaule Kitundu

    GE2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

    Watoto wa dada "wapwa" mnapeana tu moyo..mnadhani mtatamalaki milele eti!
  2. Lyaule Kitundu

    GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Ndugu yangu Kuna watu wengi bado wako gizani, leo nilienda posta nikahudumiwa na mama mmoja anayejiandaa kustaafu mwaka huu akiniuliza utampigia Nani kura? Nikamjibu yeyote aliye kwenye karatasi lakini sio Magufuli. Alinishangaa akaniambia ndio zenu vijana kwani huoni maendeleo yote haya...
  3. Lyaule Kitundu

    GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Wasikusumbue Hawa wote unaowaona humu wakipiga kelele mitano Tena Ni watoto wa dada zake yaani wapwa. Hawa Ni kina Dotto na nduguze wanajaribu kujimultiply kwa ID za kutosha JF
  4. Lyaule Kitundu

    GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Lakini si unaweza kutoa hata wewe ndugu? Kama huna video unaweza kuandika hapa hizo qualifier za kuzungumza ukatili hadharani ukimtanguliza na Mungu. Please tuwekee hapa hizo qualifiers
  5. Lyaule Kitundu

    GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Mkuu Mag3 naomba utuwekee video katika mfumo tunaoweza kudownload please not as a link. Niko na watu kibao ndugu zangu nikiwaeleza ukatili wa huyu bwana huwa hawanielewi
  6. Lyaule Kitundu

    MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Kuna mwanajeshi wa Tanzania anayesokota nywele hivyo? Binafsi Sijawahi kuona maana Sheria za jeshi haziruhusu
  7. Lyaule Kitundu

    GE2020 Ni wakati gani JWTZ inapaswa kuingia mtaani kushiriki shughuli za kisiasa na kutuliza ghasia?

    Natamani tu waje watuwekee Hawa jamaa bize tupige kura kwa amani
  8. Lyaule Kitundu

    Msaliti haombi msamaha kwa sababu amesaliti bali anaomba msamaha kwa sababu amegundulika

    Ni Mungu huyo huyo unayesema amemuandalia mume mwingine wa kumlelea na watoto wake ndio huyuhuyu tunayehubiriwa anahimiza tusamehe Kama naye anavyotusamehe dhambi zetu? Hiyo perfection mnayoitafuta duniani hamjaipata tu Hadi leo?
  9. Lyaule Kitundu

    Dkt. Abbas: Dira ya maendeleo ya 2025 haina sehemu inayoonyesha pato la Nchi kuingia Uchumi wa Kati. WB ndio yenye vigezo vyake

    Unamuonea Pascal Mayalla bure. Unashindwa kuelewa wakati ule anatamka hayo alikuwa kwenye wakati gani. Kilikuwa Ni kipindi kigumu Cha kushawishi wajumbe kabla hawajafikia 500
  10. Lyaule Kitundu

    Dkt. Abbas: Dira ya maendeleo ya 2025 haina sehemu inayoonyesha pato la Nchi kuingia Uchumi wa Kati. WB ndio yenye vigezo vyake

    Kukuweka sawa kabla hujaendelea zaidi kupotosha, dira imetaja bayana figure hiyo ya $3,000. Haya unaweza kuendelea
Back
Top Bottom