duh!!!!! hii kwli inatisha asee arifu..!!!! mwache huyo mchawi aipate, za mwizi 40, kweli MZEE MWAIPESILE ni sir GOD anafanya kazi kupitia kwake, kweli mungu yupo asee!!!!!!!!!!!!
duh!!! huu kwli ni uzembe, haiwezekani wanasadikika kwamba ni majambazi wa kutumia silaha halafu wanarundikwa wote kwenye chumba ki 1, lazima wangetafuta mbinu. jeshi la polisi 2jipange. natoa pole kwa familia za marehemu mungu yu pa1 nao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.