Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Wakuu naomba mnijuze .. ntatarajia kwenda kuishi wilaya ya muleba vp maisha kiujumla Hali ikoje especially huduma za kijamii ,nature ya watu na mazingira, uchumi
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala...
Tuliohudhuria mtoko wa pasaka huyu muimbaji Christina shusho hana ndugu? Mbona wasanii wakiwa na tafrija wakiitwa ndugu hujitokeza kwa wingi sana ...vipi kwa huyu dada yetu na mbona siasa ni nyingi kuliko muimbaji wake
Wakuu hbr za majukumu ningependa kuelimishwa kuhusu maswala ya green card kwa watu wanaopenda kwenda kuishi nje na kufanya kazi huko na je ilifungiwa na rais trump?
Watu tunataka tukifanikiwa ndo tuwe madon wa familia kupigiwa magoti kuombwa msaada kila siku, sifa kwamba kaka wa ulaya siku ukija Tanzania uheshimike wengine wanakuwa hawafai ukirudi kijijini kwenu uchemshiwe maji ya kuoga ,bafu lisuguliwe ling'ae upelekewe maji ukaoge, uchinjiwe yule jogoo...
Miongoni mwa jamii yenye watu Bora , wastaarabu , wasomi , waliofanikiwa na ambao sio wanafki ni jamii ya wakatoliki...walokole wanafki sana waliookoka kwa asilimia mia ni wa kuhesabu sana, majungu wao kusengenyana kanisanj wao ..ulitaka kuishi vzr hata kwenye nyumba za kupanga au ujirani ishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.