unadhani mtu ambaye anataka akutapeli hawezi kutengeneza link n ukatuma na kutapeliwa? tambua kuwa tapeli ni professional kwa kazi yake so hilo ulisemalo l link si suluhisho..cha muhimu hapa ni mtu kujitambua na mambo y mtandaoni...umepewa namba tena ya voda ambayo utaitumia hata kwa kifurushi...
Gud..mtu yeyote mwenye kujitambua hawezi lipa pesa yeyote mtandaoni pasipo kujiridhisha n taarifa utakazopewa...fanya hayo mawasiliano then km utahisi kuna ujanja basi ignore it..kwahyo usiconclude utapeli na silazma watu wote watumie njia unayotumia wewe...
Unapong'atwa na nyoka kila uguswapo na nyasi lazima urushe mguu...stashangaa..kwa yeyote ambaye hana negative thinking juu ya hii taarifa atumie hyo contact ya sm then atajiridhisha kwa maswali yote ambayo yataclear doubt zote j ya matapeli...
kwahyo watu wasishikiwe akili n mtu ambaye amewahi...
Kwa wale wote waliosoma education na kuchukua masomo ya language. Na wanaojua kuongea kingereza vizuri. Ambao wako tayari kwenda kufundisha china kwa mshahara mzuri..wapige no hii 0757-432597 kwa ajili ya maelekezo ya kutuma cv zao. Deadline tar 20/08/2015
Kwasababu kirusi kinapenya kwenye ubongo na kuathiri moral judgement zs watu...tusipokuwa makini kitatuua kabsaa likija suala zima la kura za Urais &Ubunge tunapoelekea too shame! Tutakosea na tutaadhirika km Taifa...ushakibik wa kienyeji kabsa ndo utashika hatamu!
Kwavle tz asilimia kubwa ni ya watu wasio na kazi za kufanya basi ni vema tuwasaidie hata namna ya kufikiri tu!itafaa kwan ni ndugu zetu hawa...we tanzanian!
Habari za asubuhi wanajamvi.
Tumshukuru sana allah kwa kutupatia pumzi mpaka muda huu tunaisoma hii habari!
TAHADHARI KWA WATANZANIA JUU YA KIRUSI KIPYA NCHINI KWETU.
Ni wiki kadhaa sasa tangu watanzania wengi waishio maeneo tofauti tofauti ya Tanzania wamekumbwa na kirusi kipya ambacho mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.