Recent content by Lyagwa

  1. L

    David Kafulila: Shirika la ndege ATCL chini ya Rais Samia halijawahi kuleta hasara za kiuchumi ila za kihasibu tu

    Kwa hiyo ndg za ATCL zisingekuwepo hawa Watalii wasingekuja Tanzania?
  2. L

    Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Duh kwa kweli leo nimejikuta natumia saa 1 nzima kabisa kumsikiliza Polepole, na wala sikuona sehemu ambayo ambayo naweza kuruka ama kusogeza mbele kwa maana zote ni point. Kwenye upigaji wa kura kila nikikumbuka maneno ya Prof. Assad, basi huwa sina cha kuongeza. Ila hii nchi ni tajiri na...
  3. L

    Kuna haja ya kuchunguza kifo cha Mkapa, Magufuli, Membe, Sitta na Ndugai

    Hakika umenena, ni full utata. Nadhani hata walioko nyuma ya hivyo vifo vya utata, watondoka duniani kwa utata na orodha itaendelea kuwa ndefu zaidi, unless watoke hadharani na kutubu
  4. L

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Nadhani aliipenda nchi yake Tanzania kuliko yeye mwenyewe, thus why alisema vile pasipo kufungua code, lakini inaonesha alijua safari imekwisha. Hata ukisikiliza mahojiano ya binti yake Jesca na Millard Ayo, kuna sehemu anaeleza Baba yao aliwaita watoto wake wote wakaa nyumbani pamoja naye nk...
  5. L

    Tetesi: Kanisa Katoliki kusitisha huduma za kijamii endapo uminywaji wa haki utaendelea kutukia Nchini

    Hii ni fake kabisa bila shaka, labda unalizungumzia kanisa tofauti na Katoliki. Huduma za kijamii ni sehemu ya Ibada, kamwe haitakaa isitishwe
  6. L

    GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Ukiona umefanya maamuzi ya jambo fulani na linapigiwa kelele, na mmejaribu kutoa ufafanuzi kila iitwatwapo leo, na ufafanunuzi huo bado haueleweiki, hauwezi kujisimamia wenyewe, hakika hapo mlichemka. Period Mzee wangu JK, utafafanua sana lakini ukweli utabaki mlichemka vibaya sana kutokufuata...
  7. L

    GE2025 Esther Matiko amuwekea pingamizi mgombe wa ACT-Wazalendo Tarime Mjini

    Hapo anataka apigiwe kura za ndio ama hapana na bahati mbaya hapana haina hata wakala wake wa kuitazama, upuuzi mtupu
  8. L

    GE2025 Mpina kwenda ACT Wazalendo ni Plan ya Samia, hii unahitaji kuwa na extra akili kujua hii move. Mpina ni project ya Samia

    Binafsi kwa sasa simuamini huyo Mpina kwenda huko ACT, naona ni mchezo wa kisiasa tena ambao umechorwa kwa muda mrefu tu. Uchaguzi mkuu utakapo isha baada ya muda Mpina atakuwa amekamilisha majukumu yake huko ACT na kurejea ndani ya CCM ama vinginevyo. Wanasiasa wetu wapo kimaslahi zaidi, pale...
  9. L

    GE2025 Mahakama yatoa Siku Saba CCM kujieleza, uteuzi wa Samia kugombea Urais

    Ni kitu kizuri amefanya Dr. Malisa, lakini ni bahati mbaya kwamba hatuna Mhimili huru wa Mahakama, hata huyo Jaji akijiridhisha pasipo shaka kuwa kulikuwa na ukiukaji wa kisheria na taratibu za chama, akiwaza kutoa hukumu ataishia kuwaza kuhusi maisha yake na familia yake na mabosi zake watakuwa...
  10. L

    GE2025 Rais Samia: Serikali inakadiriwa kupata Mapato Mrabaha Dola 373,000,000 Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji wa Madini ya Urani, Namtumbo

    Mbona hata kutembea anatembea kwa shida, miaka 5 itafika salama kweli. Anyway yangu macho.
  11. L

    GE2025 Je, Uharam wa ‘Candidacy’ ya Rais Samia hauwezwi kupingwa mahakamani?

    Hili ndio swala la msingi kwa kweli. Binafsi nilitamani hilo litokee, ila ukweli Mahakama zetu duh, ndio zile alizotuambia Rostam Aziz, hizi zinachozea vyama vya siasa na wanasiasa wa upinzani.
  12. L

    GE2025 James Mbatia: Tanzania kwanza mengine baadaye, tuache kiburi

    Uongozi ni kuonyesha njia, walioko madarakani walipaswa kuonesha njia na kuwaiwaita wengine mezani na sio vinginevyo.
  13. L

    TANZIA Hassy Kitine, Mkurugenzi wa zamani wa Idara ya Usalama afariki dunia

    Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi, Amina. Pumzika mzee Kitine, huenda Taifa halikudai kitu, ulilitumikia vema
Back
Top Bottom