Recent content by Lyagwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Asije kumtafutia mgodi wa dhahabu hapaa Tanzania tu
  2. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atajutia sana Humphrey Polepole kutekwa

    Yuko wapi Lazaro Nyarandu, ziara zao wakitumbua Kodi zetu wakibadilisha Hotel na viwanja vya ndege hazikuzaa matunda? Prof. Paramaganda Kabudi, pesa zetu baba. January Makamba na Polepole hawapo kwenye mfumo, so hatuwezi hata kuwawazia
  3. L

    JamiiForums Tanzania "Who are you" itamgharimu sana Rais Samia kidiplomasia

    Tutawalaumu wasaidizi wake bure, hakuna msaidizi aliyemuandikia hotuba ya vile. Zile ni kauli zake mwenyewe kutokana na hulka yake binafsi. Aliposema kifo ni kifo, haikuwa sehemu ya hotuba iliyoandaliwa na wasaidizi wake, na hata WHO ARE YOU nk, ni mahaba yake mwenyewe. Waziri Mkenda akiwa...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kuipiga Nyundo serikali ya Tanzania, Watanzania wote waiunga mkono Marekani

    Kila nikikumbuka ile hotuba ya mkuu wa kaya, wakati anahutubia walioitwa wazee wa DSM, na ikafuatiwa na pongezi kibao, mabeberu wakiulizwa WHO ARE YOU, Mnadhani nyie ni master kwetu, kisa pesa, pesa zenyewe hazipo, tunafanya biashara pamoja, mnapata na sisi tunapata, eti baadaye waziri wa mambo...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Ni kweli kabisa, kwa mauwaji yale, utekaji huu unaoendelea hadi sasa na PM anatoa story za aina yake, hatuwezi kumsahau.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Duh, nimeangalia hii video clip pasipo kuchoka, lipo la kujifunza hata kwenye maisha yetu na familia zetu pia.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    Nilitegemea kumuona PM akikagua miradi mikubwa ya maendeleo kama barabara, ujenzi wa Hospitali, Vyuo vya ufundi (VETA) miradi mikubwa ya ujenzi wa majengo ya serikali, Scheme za umwagiliaji nk. Lakini badala yake anatatua matatizo very common ambayo kama tungekuwa tunatimiza wajibu zetu vizuri...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kuna nini kinaendelea CCM?

    Mishara ikosekane na Kihongosi anatembea ziara kama Rais wa nchi jamani, anyway sijui
  9. L

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu Mwigulu Nchemba jiuzulu kwa kuyachafua mataifa ya jirani hasa Kenya kuwa raia wake walikuja Tanzania kushiriki kupindua serikali ya CCM

    Nje na hiyo huwa najiuliza hivi hata ziara za Waziri Mkuu mikoani zina lengo gani, zina tija gani, maana naona kama yupo busy kutatau kero ambazo zilipaswa kutatuliwa na viongozi wa serikali za mtaa hadi kata. Nawaza tu, hakuna mradi wa maendeleo wa kukagua, wala kufungua?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa aliyekuwa akipigia makofi kwa nguvu kauli ya Samia ya kuchapa Wakenya na Watanzania ni nani?

    Ni aibu kwa waziri wa mambo ya nje mwenye dhamana ya kusimamia Diplomasia kushangilia namna kauli ya ovyo kabisa, kisa tu imesemwa na Boss wake na yeye anashangilia kama Zuzu
  11. L

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Shirika la ndege ATCL chini ya Rais Samia halijawahi kuleta hasara za kiuchumi ila za kihasibu tu

    Kwa hiyo ndg za ATCL zisingekuwepo hawa Watalii wasingekuja Tanzania?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Duh kwa kweli leo nimejikuta natumia saa 1 nzima kabisa kumsikiliza Polepole, na wala sikuona sehemu ambayo ambayo naweza kuruka ama kusogeza mbele kwa maana zote ni point. Kwenye upigaji wa kura kila nikikumbuka maneno ya Prof. Assad, basi huwa sina cha kuongeza. Ila hii nchi ni tajiri na...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuchunguza kifo cha Mkapa, Magufuli, Membe, Sitta na Ndugai

    Hakika umenena, ni full utata. Nadhani hata walioko nyuma ya hivyo vifo vya utata, watondoka duniani kwa utata na orodha itaendelea kuwa ndefu zaidi, unless watoke hadharani na kutubu
  14. L

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Nadhani aliipenda nchi yake Tanzania kuliko yeye mwenyewe, thus why alisema vile pasipo kufungua code, lakini inaonesha alijua safari imekwisha. Hata ukisikiliza mahojiano ya binti yake Jesca na Millard Ayo, kuna sehemu anaeleza Baba yao aliwaita watoto wake wote wakaa nyumbani pamoja naye nk...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kanisa Katoliki kusitisha huduma za kijamii endapo uminywaji wa haki utaendelea kutukia Nchini

    Hii ni fake kabisa bila shaka, labda unalizungumzia kanisa tofauti na Katoliki. Huduma za kijamii ni sehemu ya Ibada, kamwe haitakaa isitishwe
Back
Top Bottom