Ahahaaaaaaa, hawa kenge wamemezeshwa taarifa fake wanazitema kama kasuku, ili mradi tu wao wamekatiwa chao, wako kama wale wakatoliki wa vijola wa kipindi kile, hawana lolote hawaa.
Wasiwasi wangu tu hiyo migao ya pesa wanazopewa, na nyingine kupitia media zote za social na magazeti uchwara...