Recent content by Lyagwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri sasa vita vya chinichini ni kati ya Mwigulu, Makonda na Ndejembi

    Hivi Makonda kwa sifa zipi haswaa
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

    Marekani pia anafadhiri Serikali ya Tanzania, majuzi tu Waziri wa Afya Mchengerwa kupitia wizara ya afya walituthibitishia hilo na wengine wengi na sekta nyingi sana
  3. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Lila kuanza uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29

    Nawaza tu ile mwitikio wa watu kwenye Tume ya Jaji Chande ulivyokuwa positive, kisha summary ya repoti ama hotuba ikawa vile na ripoti tukaambiwa sio public, hiyo nguvu inatoka wapi this time ya kwenda kutoa ushahidi ambao huenda nao tutaambiwa ni taarifa ya yangu niliyeunda tume yangu mwenyewe...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea - Agosti 24, 2026

    Uko sahihi kabisa, ingawa kwa kiasi kikubwa watesi wake wamejikuta wana rise political status yake na kushusha za kwao huenda pasipo wao wenyewe kujua hilo
  5. L

    JamiiForums Tanzania Lala pema Peponi John Pombe Magufuli Leo wamefungua mradi ulioanzisha bila kukutaja kama Icon wa mradi huo.

    Wakati wa kuweka jiwe la msingi walimtaja zikalipuka shangwe za kutisha, unajua waliopo ofisini wanavyoteseka na shangwe, kama imekuwa hivyo leo basi itakuwa sio kwa bahati mbaya hata kidogo
  6. L

    JamiiForums Tanzania Lissu ninayemfahamu mimi kama wanadhani 'Prima Facie' itamnyenyekeza, wanakosea

    Binafsi naamini Lissu ni muujiza unaoishi duniani, amebeba hatima fulani, kupitia yeye nchi hii itaenda kupata mabadiliko mazuri hasa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi nk. Natumai Mwenyezi analo kusudi mahususi kwake, litatimia siku moja hata kama itachukua muda. Na watesi wake wao wenyewe ama...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Mwenyezi Mungu ni wa Haki, nategemea kuona haki inatawala na tunalinusuru Taifa letu kutoka kwenye tension ya vyesi kila iitwapo leo. Inaonesha kwa sasa hata fedha za maendeleo zimepungua ili kugharimia vyesi mahakamani ndani ya nchi, ambapo washitakiwa ni raia wetu wenyewe, ambao walipaswa kuwa...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Madeleka apandishwa kizimbani Kisutu, anatarajiwa kupewa Kesi ya Watanganyika ile ya Ugaidi

    Nadhani gharama za serikili kwenye kuendesha vyesi itakuwa imepanda sana awamu hii, maana kila kukicha ni mashitaka mapya kila kona ya nchi na hivyo gharama za ulinzi hasa kupitia jeshi la polisi zitakuwa zimeshuti sana awamu hii.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Hilo haliepukiki, ilikuwa fursa ya watu kupiga mpunga.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wasomi UDSM Waitaka Serikali Kuacha Kuingilia Uhuru wa Kitaaluma

    Tunaendelea kupata fundisho kubwa, kamwe huko mbeleni tusikubali kuongozwa na viongozi vilaza wasiojiamini. Huu moto tunaopitishwa, hadi miaka hii iishe, sijui. Natamani kuona watu wakiweka vitendea kazi chini na wanafunzi wakose masomo wiki moja hadi 2, watoke mtaani, watawala waone...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Mungu yupi huyo anayezungumziwa hapa, hebu acheni kufuru basi. Mwenyezi Mungu kamwe hawezi kuleta kiongozi kwa njia ya kumwaga damu za watu wake, na baado hata sasa damu zinaendelea kumwagika na vitisho vya kupita kiasi kwa raia wa nchi yake mwenyewe
  12. L

    JamiiForums Tanzania UPDATE kesi ya Lisu inampa umaarufu zaidi na kuonyesha udhaifu mkubwa wa mihimili yetu wakiwemo WATUMISHI wengi vilaza turudi TU kwenye maridhiano

    Jambo lolote ukilifanya kwa uonevu mwisho wa siku linamuinua mtendwa na kukudidimiza mtendaji wake, hata kama utamuua kimwili. CCM kupitia dola hasa Polisi na wenzao wanachoifanyia Chadema, wamejikuta wao wanazidi kutokomea gizani ila watendwa wanashamili kila iitwapo leo.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Duh, Nanukuu, Elimu ya sheria sio makalio kusema kwamba kila mtu anayo, Mwisho wa Kunukuu. Umetisha sana
  14. L

    JamiiForums Tanzania Mzee Joseph Butiku, Respect is not granted like a cake on the plate. Respect for public leaders is earned!!

    Kabla ya matatizo ya 29Th, October, 2025 alishauri kitu gani, au alikuwa bado ni kijana? Labda Mzee Warioba aseme neno, sio huyu babu/baba
  15. L

    JamiiForums Tanzania Fanyeni hivi ili Heche ajiuzulu

    Ahahaaaaaaa, hawa kenge wamemezeshwa taarifa fake wanazitema kama kasuku, ili mradi tu wao wamekatiwa chao, wako kama wale wakatoliki wa vijola wa kipindi kile, hawana lolote hawaa. Wasiwasi wangu tu hiyo migao ya pesa wanazopewa, na nyingine kupitia media zote za social na magazeti uchwara...
Back
Top Bottom