Kila nikikumbuka ile hotuba ya mkuu wa kaya, wakati anahutubia walioitwa wazee wa DSM, na ikafuatiwa na pongezi kibao, mabeberu wakiulizwa WHO ARE YOU, Mnadhani nyie ni master kwetu, kisa pesa, pesa zenyewe hazipo, tunafanya biashara pamoja, mnapata na sisi tunapata, eti baadaye waziri wa mambo...