Recent content by Lyagwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Wasomi UDSM Waitaka Serikali Kuacha Kuingilia Uhuru wa Kitaaluma

    Tunaendelea kupata fundisho kubwa, kamwe huko mbeleni tusikubali kuongozwa na viongozi vilaza wasiojiamini. Huu moto tunaopitishwa, hadi miaka hii iishe, sijui. Natamani kuona watu wakiweka vitendea kazi chini na wanafunzi wakose masomo wiki moja hadi 2, watoke mtaani, watawala waone...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Mungu yupi huyo anayezungumziwa hapa, hebu acheni kufuru basi. Mwenyezi Mungu kamwe hawezi kuleta kiongozi kwa njia ya kumwaga damu za watu wake, na baado hata sasa damu zinaendelea kumwagika na vitisho vya kupita kiasi kwa raia wa nchi yake mwenyewe
  3. L

    JamiiForums Tanzania UPDATE kesi ya Lisu inampa umaarufu zaidi na kuonyesha udhaifu mkubwa wa mihimili yetu wakiwemo WATUMISHI wengi vilaza turudi TU kwenye maridhiano

    Jambo lolote ukilifanya kwa uonevu mwisho wa siku linamuinua mtendwa na kukudidimiza mtendaji wake, hata kama utamuua kimwili. CCM kupitia dola hasa Polisi na wenzao wanachoifanyia Chadema, wamejikuta wao wanazidi kutokomea gizani ila watendwa wanashamili kila iitwapo leo.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Duh, Nanukuu, Elimu ya sheria sio makalio kusema kwamba kila mtu anayo, Mwisho wa Kunukuu. Umetisha sana
  5. L

    JamiiForums Tanzania Mzee Joseph Butiku, Respect is not granted like a cake on the plate. Respect for public leaders is earned!!

    Kabla ya matatizo ya 29Th, October, 2025 alishauri kitu gani, au alikuwa bado ni kijana? Labda Mzee Warioba aseme neno, sio huyu babu/baba
  6. L

    JamiiForums Tanzania Fanyeni hivi ili Heche ajiuzulu

    Ahahaaaaaaa, hawa kenge wamemezeshwa taarifa fake wanazitema kama kasuku, ili mradi tu wao wamekatiwa chao, wako kama wale wakatoliki wa vijola wa kipindi kile, hawana lolote hawaa. Wasiwasi wangu tu hiyo migao ya pesa wanazopewa, na nyingine kupitia media zote za social na magazeti uchwara...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya Maadili: Siyo kosa kwa kiongozi mwenye dhamana kuteua ndugu, jamaa au marafiki

    Kwamba yeye hapendi uhai wake hata aseme vinginevyo?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Full Text: Mabadiliko ya Muswada wa Senate ya Marekani kuhusu Tanzania ni wa moto zaidi

    Yuko wapi Msigwa siku hizi, simsikii na Propaganda zake, ama ameenda Canada kuangalia mpira wa kombe la dunia, maana ni wazee wa fursa wale, kutumia kodi zetu hawajambo
  9. L

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Kama viongozi wa Taasisi ndio wamekuwa wakiondoshwa kwenye nafasi zao, kiasi cha hadi kutetewa na akina Gwajima, kwa ubinadamu wao wanaweza kujikuta sasa wanaamua kuwa watulivu na usikute Taasisi kwa sasa inaongozwa na chawa mwanifu kwa utawala pasipo kujali maslahi ya nchi yetu
  10. L

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Umefafanua vizur sana, ila tu pale unapotoa hukumu kwa kumuita mtu usiyemfahamu kuwa mwenye akili ndogo, dah kama vile hadi unamkosea muumba wako aliyemuumba mtu huyo. Ila haina shida, nayaheshimu mawazo yako, uzuri Mwenyezi Mungu aliyeniumba ndio ananifahamu zaidi na watu ninaofahamiana nao...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Labda siku ile pale Mlimani City hakupeleka mgao kwenye chama cha mbogamboga, ahahaaaa
  12. L

    JamiiForums Tanzania Lucy Mayenga ni ushahidi wa nafasi za Ubunge kwa namna isiyo sahihi

    Mfumo ukiwa wa vilaza toka juu, majority ya wanufaika wake ni vilaza wa aina hiyo. Ndio maana huwa hawana hoja kabisa, wanatumia tu wingi wao kupingana na wenye hoja wachache kama huyo Lucy Mayenga na wenzake Vs Sigrada na Ado.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Jamani, kwamba hiyo nayo ni habari sana, ahahaaaaaaaaa
  14. L

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Mtoa ufafanuzi ndio umemaliza hivyo, sawa, endelea na kazi na wewe huko ulipo.
Back
Top Bottom