Duh kwa kweli leo nimejikuta natumia saa 1 nzima kabisa kumsikiliza Polepole, na wala sikuona sehemu ambayo ambayo naweza kuruka ama kusogeza mbele kwa maana zote ni point. Kwenye upigaji wa kura kila nikikumbuka maneno ya Prof. Assad, basi huwa sina cha kuongeza.
Ila hii nchi ni tajiri na...
Hakika umenena, ni full utata. Nadhani hata walioko nyuma ya hivyo vifo vya utata, watondoka duniani kwa utata na orodha itaendelea kuwa ndefu zaidi, unless watoke hadharani na kutubu
Nadhani aliipenda nchi yake Tanzania kuliko yeye mwenyewe, thus why alisema vile pasipo kufungua code, lakini inaonesha alijua safari imekwisha. Hata ukisikiliza mahojiano ya binti yake Jesca na Millard Ayo, kuna sehemu anaeleza Baba yao aliwaita watoto wake wote wakaa nyumbani pamoja naye nk...
Ukiona umefanya maamuzi ya jambo fulani na linapigiwa kelele, na mmejaribu kutoa ufafanuzi kila iitwatwapo leo, na ufafanunuzi huo bado haueleweiki, hauwezi kujisimamia wenyewe, hakika hapo mlichemka. Period
Mzee wangu JK, utafafanua sana lakini ukweli utabaki mlichemka vibaya sana kutokufuata...
Binafsi kwa sasa simuamini huyo Mpina kwenda huko ACT, naona ni mchezo wa kisiasa tena ambao umechorwa kwa muda mrefu tu. Uchaguzi mkuu utakapo isha baada ya muda Mpina atakuwa amekamilisha majukumu yake huko ACT na kurejea ndani ya CCM ama vinginevyo.
Wanasiasa wetu wapo kimaslahi zaidi, pale...
Ni kitu kizuri amefanya Dr. Malisa, lakini ni bahati mbaya kwamba hatuna Mhimili huru wa Mahakama, hata huyo Jaji akijiridhisha pasipo shaka kuwa kulikuwa na ukiukaji wa kisheria na taratibu za chama, akiwaza kutoa hukumu ataishia kuwaza kuhusi maisha yake na familia yake na mabosi zake watakuwa...
Hili ndio swala la msingi kwa kweli. Binafsi nilitamani hilo litokee, ila ukweli Mahakama zetu duh, ndio zile alizotuambia Rostam Aziz, hizi zinachozea vyama vya siasa na wanasiasa wa upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.