Full Text: Mabadiliko ya Muswada wa Senate ya Marekani kuhusu Tanzania ni wa moto zaidi

Full Text: Mabadiliko ya Muswada wa Senate ya Marekani kuhusu Tanzania ni wa moto zaidi

Baraza la Seneti limegundua yafuatayo:

Tanzania ni nchi inayoendelea kugandamiza, uhuru wa demokrasia, uhuru wa wanaharakati, uhuru wa watu wake na uhuru wa dini

Tanzania inatishia maslahi ya Marekani ya uwekezaji.

Baada ya uchaguzi na mauaji ya oktoba 29, bado Tanzania inaendelea kuteka mfano, Balozi Humphrey Polepole.

Tanzania bado inaendelea kumshikilia Mkiti wa Chadema Tundu Lissu kwa mashtaka ya uhaini, na kuwatisha viongozi wengine akiwemo M/Mkiti wa Chadema John Heche.

Tanzania imezuia uhuru wa dini na kuyafungia baadhi ya makanisa ya kikiristo.

Siku na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, vyombo vya ulinzi viliua maelfu ya waandamanaji.

Mapendekezo ya Vikwazo.

1. Viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi, na wa Serikali waliohusika.
2. Watumishi wa serikali, viongozi wa majeshi waliohusika, watumishi wa Tume ya uchaguzi.
3. Wote waliohusika na kuzima mawasiliano (Internet) wakati wa mauaji ya oktoba 29.
4. Yeyote aliyehusika kunyanyasa dini na viongozi wa dini na waliohusika kufungia makanisa.
5. Vikwazo vitaanza kutekelezwa siku 30 hadi 180 baada ya mswada huu kuwa sheria.

6. Inaendelea......

Vikwazo havitahusisha,

1. Misaada ya kibinadamu.
2. Misaada ya Afya na
3. Misaada ya maendeleo ya demokrasia, haki za binadamu, utawala bora, mashirika ya kijamii.

Wanaosema mswaada umelegeza masharti hizo ni propaganda wapuuzeni.

Link ya amendment hii hapa https://foreign.senate.gov/imo/medi...-a0fd-cdbd622fdecf.pdf?utm_source=chatgpt.com



View attachment 3606824View attachment 3606822View attachment 3606823View attachment 3606825
Vikwazo kwa watanzania masikini Wala haviwagusi viongozi wa ccm hata kidogo..
 
Like shoqa linajiita abdul nani sijui likikuja huku asubuhi asubuhi likikata mauno kuwa mabasher wake wamelegezewa kamba, kumbe kimombo kilimchoropoka, hakuelewa lolote, liko sawa tu na Lucas Mwashambwa hayajui lolote, kazi kutingisha Makebo tu
Zack Abdul unaitwa huku. Tena inasemekana wewe ni basha toka Zanzibar. Jitetee, njoo uthibitishe kuwa wewe sio basha
 
Mnaweza kujazana ujinga humu, lakini mkienda kwa wazungu mjue dakika moja tu wanaweza wapima.

Not long ago binafsi niliwaambia humu private members bills ambazo zinaingilia national foreign policies uwa azichomoki. Ndio maana hata hii key issues za national diplomacy washazichomoa.

That’s not the main issue, somo hapa ni Lissu akitoka huko halipo ni kuacha kusikiliza mataahira wa mitandaoni ndio wiomfikisha halipo.

95% ya wachangiaji wa hili jukwaa na wanaharakati hawajawai kusoma hata kitabu cha siasa. Haya mambo yana kanuni sio rahisi vile.
Mkuu uneeleweka kwa herufi kubwa. Watu wanashabikia very petty issues na hao ndiyo wanataka Lissu aendelee kusota gerezani.
 
Baraza la Seneti limegundua yafuatayo:

Tanzania ni nchi inayoendelea kugandamiza, uhuru wa demokrasia, uhuru wa wanaharakati, uhuru wa watu wake na uhuru wa dini

Tanzania inatishia maslahi ya Marekani ya uwekezaji.

Baada ya uchaguzi na mauaji ya oktoba 29, bado Tanzania inaendelea kuteka mfano, Balozi Humphrey Polepole.

Tanzania bado inaendelea kumshikilia Mkiti wa Chadema Tundu Lissu kwa mashtaka ya uhaini, na kuwatisha viongozi wengine akiwemo M/Mkiti wa Chadema John Heche.

Tanzania imezuia uhuru wa dini na kuyafungia baadhi ya makanisa ya kikiristo.

Siku na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, vyombo vya ulinzi viliua maelfu ya waandamanaji.

Mapendekezo ya Vikwazo.

1. Viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi, na wa Serikali waliohusika.
2. Watumishi wa serikali, viongozi wa majeshi waliohusika, watumishi wa Tume ya uchaguzi.
3. Wote waliohusika na kuzima mawasiliano (Internet) wakati wa mauaji ya oktoba 29.
4. Yeyote aliyehusika kunyanyasa dini na viongozi wa dini na waliohusika kufungia makanisa.
5. Vikwazo vitaanza kutekelezwa siku 30 hadi 180 baada ya mswada huu kuwa sheria.

6. Inaendelea......

Vikwazo havitahusisha,

1. Misaada ya kibinadamu.
2. Misaada ya Afya na
3. Misaada ya maendeleo ya demokrasia, haki za binadamu, utawala bora, mashirika ya kijamii.

Wanaosema mswaada umelegeza masharti hizo ni propaganda wapuuzeni.

Link ya amendment hii hapa https://foreign.senate.gov/imo/medi...-a0fd-cdbd622fdecf.pdf?utm_source=chatgpt.com



View attachment 3606824View attachment 3606822View attachment 3606823View attachment 3606825
Mungu wabariki Wazungu
 
Mkuu uneeleweka kwa herufi kubwa. Watu wanashanikia very petty issues na hao ndiyo wnataka Lissu aendelee kusota gerezani.
Lissu hatoki gerezani kwa hisani ya mtu yeyote; inakupasa ulitambue hili.
 
Mimi nina B English ya O-Level 1978 na C ya Literature A-Level 1981. Nakuwekea summary ya status ya huo muswada hapa kwa lugha nyepesi:

Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz waliwasilisha muswada huo mnamo mwezi Mei 2027 baada ya uchaguzi wa Tanzania wa Oktoba 2025 uliogubikwa na mizozo, wakitaja ukandamizaji wa maandamano, utekaji nyara, mauaji, na mnyanyaso wa kidini. Toleo lililofanyiwa marekebisho, ambalo limepangiwa kufanyiwa mapitio na kamati mnamo Juni 17, 2016 linakata tu ufadhili wa maendeleo kutoka kwa mashirika kama vile Shirika la Marekani la Ufadhili wa Maendeleo ya Kimataifa (U.S. International Development Finance Corporation) lakini linadumisha misaada ya kiusalama na kuongeza kipengele cha msamaha kwa maslahi ya kitaifa
Hivi kinachokuzuzua wewe kuhusu huo mswada ni kitu gani hasa?

Unataka huo mswada utamke mahala fulani kwamba watam'Maduro" Samia ndipo ujuwe umuhimu wake upo wapi?

Tanzania itakombolewa na waTanzania; hiyo miswada iwepo au isiwepo haijalishi chochote.

Sasa hivi mnahaha na kutafsiri kila neno ndani ya mswada huo, kana kwamba ndiyo kinga yenu kuu mnayoitegemea iwaokoe;p hilo halitatokea.
Hatma ya waTanzania na nchi yao imo mikononi mwao siyo kwa hao mnaotafutizia sasa hivi kujiuza kwao ili mpate nafuu, hilo halitatokea.
Wao wanayo maslahi yao; ambayo sasa mnatafuta njia ya kuwaridhisha kuwa mtayalinda wakati mkiendelea kuwafanyia waTanzania hujuma. Katika hili hakuna atakayewaokoa safari hii.

Tunachotaka toka kwa hao wenye mswada ni kuzima tu hiyo mitutu mnayoitumia basi, kazi nyingine ni yetu wenyewe.
Na kuna njia mbalimbali za kuzima hiyo mitutu.

Na hata wakinogewa mtakachoahidi kuwapa; bado mikono ya waTanzania itawafikia tu waovu nyinyi.
 
Vikwazo visiwe kuingia tu Marekani,hawa ni wa kusukumwa ICC halafu wajumbe wa ile tume nao wajumlishwe huko!!
Usisahau kamwe, kwamba sisi wenyewe tunao uwezo wa kuwashughulikia kuliko hata hao ICC!
 
Hivi kinachokuzuzua wewe kuhusu huo mswada ni kitu gani hasa?

Unataka huo mswada utamke mahala fulani kwamba watam'Maduro" Samia ndipo ujuwe umuhimu wake upo wapi?

Tanzania itakombolewa na waTanzania; hiyo miswada iwepo au isiwepo haijalishi chochote.

Sasa hivi mnahaha na kutafsiri kila neno ndani ya mswada huo, kana kwamba ndiyo kinga yenu kuu mnayoitegemea iwaokoe;p hilo halitatokea.
Hatma ya waTanzania na nchi yao imo mikononi mwao siyo kwa hao mnaotafutizia sasa hivi kujiuza kwao ili mpate nafuu, hilo halitatokea.
Wao wanayo maslahi yao; ambayo sasa mnatafuta njia ya kuwaridhisha kuwa mtayalinda wakati mkiendelea kuwafanyia waTanzania hujuma. Katika hili hakuna atakayewaokoa safari hii.

Tunachotaka toka kwa hao wenye mswada ni kuzima tu hiyo mitutu mnayoitumia basi, kazi nyingine ni yetu wenyewe.
Na kuna njia mbalimbali za kuzima hiyo mitutu.

Na hata wakinogewa mtakachoahidi kuwapa; bado mikono ya waTanzania itawafikia tu waovu nyinyi.
Hizo pumba zako na wewe pelekea nguruwe zako wakale. Maansishi mengi na point hakuna, unaishi kwa kukariri
 
Hizo pumba zako na wewe pelekea nguruwe zako wakale. Maansishi mengi na point hakuna, unaishi kwa kukariri
Taratibu tunaanza kuelewana, mkuu 'Hui'.
Kadri siku zinavyoendelea na jinsi ninavyozidi kukusoma naona kuna matumaini kidogo juu yako. Maandishi yako siyo yale ya kushangilia vifo vya waTanzania tena.

Twende taratibu, najuwa hatimaye tutafikia sehemu moja ya kuishangilia Tanzania Mpya.
Hili sina shaka nalo tena.

Hivyo vi-english vyako nakubaliana navyo, na nina hakika uelewa huo ndio utaturudisha pamoja katika kutetea maslahi ya nchi yetu, bila kujali hicho kilichokupeleka huko kwa akina Samia na Genge.
Dini yetu ni moja tu, mkuu, 'Hui', ambayo ni Tanzania; na kama inabidi, sina tatizo na Tanganyika hata mara moja.
 
Leo wanashangilia kupunguziwa vikwazo wakati walikuwa wanasema hawaogopi vikwazo wanajitegemea.
Hahaha nimekumbuka mambo ya sovereign state na Ile (who are you)
Mlitaka nifanyej
 
Yuko wapi Msigwa siku hizi, simsikii na Propaganda zake, ama ameenda Canada kuangalia mpira wa kombe la dunia, maana ni wazee wa fursa wale, kutumia kodi zetu hawajambo
 
MUSWAADA UNAZIDI KUSOGEZWA KARIBU NA DAWATI LA RAIS DONALD TRUMP KUWASAINIWA KUWA SHERIA

Mambo yanazidi kuiva, tracker / mnyororo wa maamuzi dhidi ya watawala wa serikali iliyojiweka kwa nguvu Ikulu, bungeni, madiwani kwa njia ya kuua raia

Sen. Shaheen, Jeanne [D-NH] (Introduced 05/19/2026)
Senate - Foreign Relations
06/17/26 10:00AM
Senate - 05/19/2026 Read twice and referred to the Committee on Foreign Relations. (All Actions)
Tracker: Tip
This bill has the status Introduced
Here are the steps for Status of Legislation:
  1. Introduced​

  2. Passed Senate​

  3. Passed House​

  4. To President​

  5. Became Law​



Fuatilia up dates zote na shajara za miadi ya vikao vya mwisho kughulika na utawala wa mwovu na wateuliwa wake wote

source : https://www.congress.gov/bill/119th-congress/senate-bill/4577/all-info

View attachment 3607011

17 June 2026

Executive Session

BUSINESS MEETING​

Congress (2025-2026): Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship Act.
Date: Wednesday, June 17th, 2026
Time: 10:00am
 
Umepita kama ulivyo tusubiri kura.

HLDrLGHXYAEIdju.jpeg
 
Back
Top Bottom