Yaani hata ukipata namba za huyo mkubwa wa elimu,naye hakawii kuingia mitini.
Naibu Waziri Mwanri anapatikana katika 0754693156
anatoa maelezo mazuri na kama sikuelewa vibaya TATIZO LIKO KTK HALMASHAURI ZETU.
Wizara ya elimu imetoa rasimu ya mabadiliko kwenye mfumo wa elimu chini ya utaratibu huo elimu ya msingi inaunganishwa na sekondari o level hivyo elimu ya msingi itakuwa miaka kumi na itafundishwa kiswahili elimu ya sekondari itakuwa ni miaka miwili kwa kiingereza.kama itapita itaanza kutumika...
Mkuu uliyekuwa unataka mawasiliano ya Waziri wa Elimu haya hapa. GENERAL Salutation Honourable Member picture First Name: Dr. Shukuru Middle Name : Jumanne Last Name: Kawambwa Member Type: Constituency Member Constituent: Bagamoyo Political Party: CCM Office Location: P.O.Box 9121, Dar es Salaam...
Mtoa mada anaulizwa ni halmashauri gan hawajalipwa ameingia mitini!kulikoni???huenda mlichelewa kupeleka viambatanishi vinavyohitajika kuwaingiza kwenye payroll,kimsingi walim takriban wote wameshaingia kwenye payroll na wengi wameshaanza kupokea mishahara! Km umeenda mwez wa 3 mwishoni,ww...
Ndugu wana JF naomba kwa yeyote anayeweza kusaidia kupatikana mawasiliano ya Waziri wa Elimu anipe.
Huu ni mwezi wa pili sasa mamia ya walimu tulioajiriwa Machi2013 hatuna mishahara.
Mbaya zaidi majibu ya Maafisa Elimu na Wakurugenzi hayana utu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.