Recent content by lweban

  1. L

    Zanzibar na Pemba kufanya maandamano kesho kutwa

    Kwa nini wafanyie Zanzibar. Wazanzibari wana misimamo yao hata ukifanya maandamano wiki nzima watakuja kukusikiliza na wakirudi huko wanabaki na misimamo yao. CHADEMA kashindwa kupata ngome huko miaka yote hiyo atawezaje sasa hivi wakati wapemba na waunguja wamevurugwa?
  2. L

    Baada ya kung'oa viti, wachezaji wavunja vioo

    Wanahitaji kuombewa kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi. Kuna siku watatukomesha kwa kuondoka na milingoti ya magoli
  3. L

    Hii inaboa sana...mmelazimishwa?

    Pole sana bro. Mimi nahisi vya aina hivyo ni feki (vya kichina) au vime - expire. Mbona wengine wanapaka na hawawi hivyo?
  4. L

    Kuna watu watabisha hapa

    Bro. mkumbushe mwenye bango hilo awastue na wasioolewa waolewe maanawako wengi inaweza iksaidia.
  5. L

    Ninauza hilo gari je kuna mtu anaye litaka?

    Bro nimeipenda. Nipe bei nione kama nitaweza. Karibu nastaafu kwenye ajira itanisaidia sana ku - enjoy siku za uzee wangu.
Back
Top Bottom