Wana JF, kwa kuwa wenzenu tuko huku Bongo, pengine tunafahamu mambo mengi ya huku kuliko ninyi huko. Taratibu za kuteua, kuapisha mabalozi wateule zinakuwa kama ifuatavyo.
1.Balozi mtarajiwa mteule huwa kwanza anachunguzwa kuanzia tabia,uhusiano,mwenendo,utendaji kazi wake,security...