Nyumba inavyumba vinne vya kulala ambapo moja ni Master Bedroom, Public toilet, Dinning room, Stoo, Jiko. Ukubwa wa kiwanja ni 30kwa25, Bei ni Milioni 30 top.
Kutoka Mbezi Mwisho yaani kituo cha daladala mpaka (site) sehemu husika ni kilometer 8
Mawasiliano 0718169877 elvinkamugisha@yahoo.com...