Recent content by lwakaja

  1. lwakaja

    Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

    Hilo sio jipu mkuu bali kwa madaktari hiyo kitu tunaita PYOMYOSITIS
  2. lwakaja

    House for sale Mbezi Msumi

    Nyumba inavyumba vinne vya kulala ambapo moja ni Master Bedroom, Public toilet, Dinning room, Stoo, Jiko. Ukubwa wa kiwanja ni 30kwa25, Bei ni Milioni 30 top. Kutoka Mbezi Mwisho yaani kituo cha daladala mpaka (site) sehemu husika ni kilometer 8 Mawasiliano 0718169877 elvinkamugisha@yahoo.com...
  3. lwakaja

    Je, Nikimrudia msichana wangu nitadharaulika?

    apo nimekuelewa so itabidi ujikondomize ukijua huna chako lakini miss
  4. lwakaja

    Je, Nikimrudia msichana wangu nitadharaulika?

    kwahiyo kondomu ndio itakuwa suruhisho? miaka nane na saivi arudi alikoanzia yaan atumie kondomu? au u serious Miss Chagga? apo ni mwendo wa yeye kuamua either kusuka au kunyoa,,,,,,,,,,,maaana ngoma atainyaka fasta kuliko maelezo
  5. lwakaja

    Je, Nikimrudia msichana wangu nitadharaulika?

    Yaani wewe ukiona mwanamke ameacha tabia fulani alafu gafla akairudia jua ndio mazima alafu kama anaanza kuzungumzia masuala ya pesa pesa kwa kila mara ujue apo anatafuta sababu ya kuachana na wewe............na siku zote mwanamke huwa akianza umalaya ni mpaka ukimwi anabeba maana anakuwa...
  6. lwakaja

    Nyumba inauzwa Mbezi Msumi Makabe

    Nyumba inavyumba vinne vya kulala ambapo moja ni Master Bedroom, Public toilet, Dinning room, Stoo, Jiko. Ukubwa wa kiwanja ni 30kwa25, Bei ni Milioni 40 mazungumzo yapo. Mawasiliano 071816977 au 0788574465 email. elvinkamugisha@yahoo.com Note: Mteja anaweza alipia pesa yote kwa mara moja...
  7. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    jaribu kutafuta sehemu nyingine palipo karibu kama vipi
  8. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    sindo na mimi nawashangaa mtu aliye serious hawezi kuuliza maswali yasiyo na msingi kama mtu uko na uhitaji unaweza piga simu ukaeleweshwa maana humu kuna mtu anataka eti niattach mpaka hiyo hati duh
  9. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    hahaa nimekusoma bwana Gefu
  10. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    sehemu hiyo ni Morogoro Road ukifika Mbezi Mwisho kuna magari ya kwenda uko Mbezi Makabe-Msumi A nauli ni shilingi miatano na ni kilometer 8 nane kutoka mbezi mwisho stend simu iliishiwa chaji hope umenielewa
  11. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    wewe kweli hauko serious haufika site kuona sehemu na kujiridhisha umeshaanza kukurupuka na njia ya kutuma hiyo pesa..uko serious kweli wewe au ndo comedian at work
  12. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    swali gani umeuliza mkuu mbona hauko serious wewe kama hauna la kuongea siubaki tu kimya? be mature
  13. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    wewe kama uko tayari unaruhusiwa kufanya investigation na kila document zipo so suala la open space au lah utajihakikishia mwenyewe apa hakuna uswahili mkuu
  14. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    Ukubwa ni 25-30
  15. lwakaja

    Nyumba inauzwa -milioni 35 dar es salaam

    Ukubwa ni 25-30
Back
Top Bottom