Recent content by lwaitama1

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kuwa mkweli kwa mambo yanavyoenda Baba au Mama yako anaweza shindwa kuwa Rais wa Tanzania? Kwa kigezo cha Uwezo wa Tuliyenaye sasa

    Nchi hii kabla ya 1995 ulikuwa ukiangalia wanaoweza kuwa Rais walikuwa almlst 30 watu committed yaan kwa uwezo Mwaka 1980 wote walikiogopa cheo hiki Sasa kianzia 2015 Cheo cha Urais hata wanafunzi wa Vyuo vikuu walichukua form Kisa Kikwete ame underperform
  2. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

    Nimeanza kukuelewa
  3. L

    JamiiForums Tanzania Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

    Maxence Melo britanicca BAK mukandara
  4. L

    JamiiForums Tanzania Melo ataja sababu za JamiiForums kufungiwa

    Huyu mtu anapaswa kupewa maua yake amekuwa maaada sana kwa watu kuhusu habari na mengine nje ya Habari
  5. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na CCM wanafanana kwa mambo mengi sana! Makamu wao wanawekwaga kwa gelesha?

    Huyu mama yenu hana uwezo wa kuongoza si tu nchi bali hata baadhi ya mawazo ya kuendesha familia yake uomba ushauri kwa mama Mwantumu
  6. L

    JamiiForums Tanzania Lissu ni Taasisi inayotembea, tukimpoteza tutapoteza mengi, akosolewe bila matusi

    Uwa siandiki Mara nyingi Kumbukeni wananchi Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

    Hata mimi najiuliza Mbona Britanicca wa hapa ana akili kuzidi wa Twitter?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya ajali ya ndege kunani? Ukweli unaendelea kujifunua

    Naona watu wajadili tu kwakuwa hakuna namna
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya ajali ya ndege kunani? Ukweli unaendelea kujifunua

    We ndo Britanicca wa Twitter? Nauliza tena maana ni watu Tofauti kwenye kufikiria! Kuna mambo hayako sawa kwenye report Kabisa hii Mwalimu
  10. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

    Kabisa
  11. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

    Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu! Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana katika falsafa zake kina mapungufu Kama vyama vingine Ambayo sitayaweka hadharani ila Kuhusu Suala...
Back
Top Bottom