Recent content by lwaitama1

  1. L

    Melo ataja sababu za JamiiForums kufungiwa

    Huyu mtu anapaswa kupewa maua yake amekuwa maaada sana kwa watu kuhusu habari na mengine nje ya Habari
  2. L

    CHADEMA na CCM wanafanana kwa mambo mengi sana! Makamu wao wanawekwaga kwa gelesha?

    Huyu mama yenu hana uwezo wa kuongoza si tu nchi bali hata baadhi ya mawazo ya kuendesha familia yake uomba ushauri kwa mama Mwantumu
  3. L

    Lissu ni Taasisi inayotembea, tukimpoteza tutapoteza mengi, akosolewe bila matusi

    Uwa siandiki Mara nyingi Kumbukeni wananchi Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la...
  4. L

    Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

    Hata mimi najiuliza Mbona Britanicca wa hapa ana akili kuzidi wa Twitter?
  5. L

    Ripoti ya ajali ya ndege kunani? Ukweli unaendelea kujifunua

    Naona watu wajadili tu kwakuwa hakuna namna
  6. L

    Ripoti ya ajali ya ndege kunani? Ukweli unaendelea kujifunua

    We ndo Britanicca wa Twitter? Nauliza tena maana ni watu Tofauti kwenye kufikiria! Kuna mambo hayako sawa kwenye report Kabisa hii Mwalimu
  7. L

    CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

    Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu! Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana katika falsafa zake kina mapungufu Kama vyama vingine Ambayo sitayaweka hadharani ila Kuhusu Suala...
  8. L

    Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

    We Uko karibu nao waambie mnapokaa pia hakikisha mishahara inapopanda pia mifuko ya hifadhi ya jamii pia iagizwe kufanya marekebisho ya fedha wanazolipwa wastaafu kwa sababu pamoja kuwa kidogo kwa walio wengi inflation inawapunguzia purchasing power haiwezi kubakia fixed hata ikiwa 15%! Hivo...
  9. L

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    I've been working on this story -- and its implications, whether the allegation is true or false -- for several weeks. I ran it by christogrozev, who came back with the following:
  10. L

    Wajue vizuri kuhusu wale jamaa wabishi wa Aziv Battalion, ambao wamemtia unyonge Putin pia Warusi wenzetu wa pale Tandale

    Kwanza watu wanajichanganya 9 May victory siyo ya Urusi pekee ni ya USSR ambayo kila nchi alokuwa Mwana Chama anaisheherekea! Ila tofautisheni kwanza USSR na Russia Mwalimu
  11. L

    Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

    Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin) Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts, wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui...
Back
Top Bottom