Uwa siandiki Mara nyingi
Kumbukeni wananchi
Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la...
Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu!
Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana katika falsafa zake kina mapungufu Kama vyama vingine
Ambayo sitayaweka hadharani ila Kuhusu Suala...
We Uko karibu nao waambie mnapokaa pia hakikisha mishahara inapopanda pia mifuko ya hifadhi ya jamii pia iagizwe kufanya marekebisho ya fedha wanazolipwa wastaafu kwa sababu pamoja kuwa kidogo kwa walio wengi inflation inawapunguzia purchasing power haiwezi kubakia fixed hata ikiwa 15%! Hivo...
I've been working on this story -- and its implications, whether the allegation is true or false -- for several weeks. I ran it by christogrozev, who came back with the following:
Kwanza watu wanajichanganya 9 May victory siyo ya Urusi pekee ni ya USSR ambayo kila nchi alokuwa Mwana Chama anaisheherekea!
Ila tofautisheni kwanza USSR na Russia
Mwalimu
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin)
Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga
Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,
wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.