Recent content by luv over hate

  1. luv over hate

    Yaani huko Ruge Tumeshammaliza Kabisa (Power of Karma)

    Hapa Jf namba ya nn?? Acha kuongelea huko kwe magroup...huko kuna washikaji zangu, ndugu n.k We unanijua?? Na unaweza jua km mimi ndio yule tupo kwenye group moja la whatsapp? Ila amin nakwambia nikikuandia namba yangu hapa...utajua jina langu, picha zangu halis na taarifa nyingne...na utaweza...
  2. luv over hate

    Yaani huko Ruge Tumeshammaliza Kabisa (Power of Karma)

    Una gawa namba yako humu...mmmnh pole...au na wewe upo nae, mnafanya kuwatega watu!!!!! Muwadake eeeh??
  3. luv over hate

    Swali dogo ila majibu lukuki!!

    Juz kati nimepoteza muda wangu kukuckiliza Bw. Bashite nikifiri labda utanena jambo la mbolea......yaani mmmh, we fanya kurudia tu O-level !! Yaani swali fupi na dogo tu unaulizwa...unaanza kuleta habari za kuconnect doti, mara oooh kipindi nipo wapi niliwahi kusomea mambo ya nn...
  4. luv over hate

    Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:

    Acha ushamba wako...lg g5 zipo toka zaman mbona
  5. luv over hate

    Ufafanuzi wa matumizi na michango: Kila familia ilipewa Sh 1m siku ya kuaga, Zitapewa Sh 3,857,143

    we Mtahengerwa uzuri nakujua vizuri...akili yako haipo sawa!! Niliwahi kukuona kijijini Malangali !...sasa get your head out of your ass and use it!! Hii nchi ingekuwa hakuna ma mbu mbu mbu wengi km wewe tungekuwa mbali... Yaan unatetea upuuuzi....
  6. luv over hate

    Ufafanuzi wa matumizi na michango: Kila familia ilipewa Sh 1m siku ya kuaga, Zitapewa Sh 3,857,143

    Weweeeee....sio anaifanya Serikali ionekane inafanya visivyo katka rambi rambi, Habari ndio hiyo! Serikali ionekane mara ngapi???? Serikali ya TZ kwa sasa HAIFAI KUIKABIDHI MICHANGO YA RAMBI RAMBI!! na huyo Gambo ni sehemu ya serikali.
  7. luv over hate

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Bado unaamin hao ni watumishi wa Mungu??? kweli binadamu wa siku hiz hamnazo.....
  8. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    *GAME OVER* Business closed
  9. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    *GAME OVER* Business closed
  10. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    *GAME OVER* Business closed!
  11. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    Ushauri mzuri...ila now is too late!!
  12. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    Wewe tu na hela yako...lipo
  13. luv over hate

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    Ndo maana nilisema mwenye uhitaji anichek inbox..hasa whatsapp
Back
Top Bottom