Kama umesoma Computer Science siyo I.T! Alichoandika jamaa huwez kuielewa. In short ameongelea 3 things only ila kavipigilia nyundo na mbwembwe nyingi sana!
Just know subsets za AI na uzisome. Alafu vidadavue. Huku tunaletewa vile vipande vitamu kusikia na vilaini kwa watu ila vina changanya...
Airtel Money menu haifanyi kazi. Wanalijua hilo na wanashauri utumie app.
Ukitumia app kutolea hela au kununua bundle hela zinapotea (unapata message hela imekatwa ila hamna bundle na ukitoa hela kwa wakala haupati message yeyote "wewe au wakala" ukicheki salio hela imeenda) na app ina crash...
Huwa najaza puma africana PUMA! Total and puma ndo wako Poa always ila hawa wa Tangibovu something is very wrong. Bora hata hizi shely za njano kuna mmoja near shoppers masaki wakiweka wese hata la elf 10 unaona mshale una move! I know my car siwez kuharibu biashara ya watu au kupoteza muda...
Mm na ki IST changu najua budget yangu kwa week so huwa kimshale kikiwa E nikiweka mafuta ya 40,000 najua yanafika wapi. Leo mchana mmenichapa ndo mnisahau tena. Huwa naweka puma ya Afrikana ila nina mashaka na wote sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
Sent from my iPhone using JamiiForums
New iko apple store! Tanzania hakuna Apple store. Authorized Resselers East africa wapo (Ke na UG). Simu nimeagiza UK ukitaka proof siku ukinunua nakuletea ina 5 days tuu Bongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.