Aisee mimi mwenyewe nlikua naingia jamii forum kwaajili ya kuangalia Ideas hasa za ujasilia mali...na ule uzi ulikua msaada mkubwa sana kwangu,nmejenga mabanda lushoto na nmeweka Nguruwe nane kwa kuanzia...napenda sana vjana tukipeana njia za kujikomboa wenyewe...Shukrani sana kwa aliye leta ule...
Halafu upuuz anao ufanya wa kuwapa baadh ya vijana pesa hasa waendesha bodaboda ili wampigie kampain...kwa kujifanya et wanamwomba agombee...uyu mzee anataka kufanya wa tz hamnazo kwel.
Dah...uyu mzee sjui mchawi jaman,au nguv ya pesa???...hv EL kaifanyia nn hii nch haswa mpaka watu wanamkubali kiac hik bila kujali kashfa kibao za ufisadi na uddmizaji wa nch alio ufanya kipnd akiwa kiongoz wa wizara mbalimbali...mbaya zaid akiwa Wazr mkuu...madd yote yamefanyka chn ya uongoz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.