Recent content by Luther samwel

  1. Luther samwel

    Ombi kwa Rais Mwinyi: Wakumbuke Masheikh wa Uamsho ambao wanateseka huku familia zao zikiishi kwa shida

    hizo familia ulishawahi kuzitembelea ukakuta zina shida
  2. Luther samwel

    Part 3: TISS bado safari ngumu

    watanzania wakijua tu jina la taasisi basi wanaanza kuchambua uongo mtupu aisee jitathmini ufanye kazi achana na ujinga kama huu kwa vitu usivyo vijua
  3. Luther samwel

    Tujadili kushuka kwa kasi kasi ya Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo nchini

    usipende sana kuropoka ovyo ovyo sisi wenyewe tunaona hadi wanamulika kwa taa za magari usiku kazi mpaka saa nne usiku we unaropoka ovyoovyo
  4. Luther samwel

    Kwanini hela ya Kenya ina thamani zaidi, tena mbali kuliko ya Tanzania wakati tumebarikiwa kila kitu?

    lazima ujue ya kwamba kuwa na Rasilimali nyingi sana haimaanishi kwamba sarafu inakuwa juu
  5. Luther samwel

    Wakati Tanzania tunapeleka balozi Israel, South Afrika tuliowasaidia na ukandamizwaji wanamwondoa balozi wao

    ni vyema basi uzi upelekwe kwenye uwanja wa international affairs sio humu
  6. Luther samwel

    Serikali hii ya Magufuli itakuwa na ubavu wa kugomea masharti magumu ya Wachina ilhali wanataka kukamilisha miradi hii ndani ya miaka mitano?

    we kibaraka wa wachina zama za kuwategemea wafadhili wa kichina zimepitwa na wakati sasa mfadhili mkuu ni kodi zetu only
  7. Luther samwel

    ACT-Wazalendo kushiriki SUK: Maoni ya Tundu Lissu

    mbona unatapatapa sana wewe weka link tusome wenyewe kama ni kweli kabisa alisema
  8. Luther samwel

    ‘Respect us!’ President Kenyatta warns foreign countries against meddling in Kenyan affairs

    leo mnawaita mabeberu watu ambao rais wenu alienda kuwaomba wamjengee barabara ama kweli nyie mmepungukiwa na akili
  9. Luther samwel

    Mashujaa ambao lazima siku moja tutakuja kuwaenzi, hata ipite miaka 100

    huelewi maana ya shujaa kabisa wewe 🤣 kwa list angeanza Nyerere aliyesababisha leo uitwe mtanzania pili karume aliyesababisha leo tuwe na muungano wa taifa moja Tatu ni mwinyi aliyesababisha leo uitwe chadema na act bila yeye no chadema no act Nne Magufuli aliyetuondolea aibu ya ufisadi na...
  10. Luther samwel

    Naomba kujuzwa juu la hili la Kijeshi

    kwa jeshi la Tanzania cheo kikubwa cha kijeshi ni general ikifuatiwa na major general Kuhusu mafunzo mafunzo muhimu ni Military defence and intelligence MDI Uteuzi wa Mkuu wa majeshi hatuangalii cheo cha kijeshi bali uzoefu wa kijeshi na pendekezo la rais Tiss kirefu ni Tanzania investigation...
  11. Luther samwel

    African Countries by number of Dollar Millionaires

    mnatuona wajinga sana list ya millionaire ipo kwenye Wikipedia tangu lini ivory coast izame kwenye list harafu watu wa kibera slum hawaingii kwenye list wanaoingia ni wamarekani wanaofanya biashara kenya acha upuuzi bwege wewe 🤣🤣🤣😂😂😂💤🦍🦍🦍🦍🦍🦍
  12. Luther samwel

    This is Tanzania

    It's true that fhit is Tanzania
  13. Luther samwel

    Kwanini Prof. Kabudi amerudia hiyo kauli yake?

    we mbona unatapatapa si uende huko lumumba
  14. Luther samwel

    Kwanini Prof. Kabudi amerudia hiyo kauli yake?

    Nilikuwa nafuatilia sana bunge lililopita na nikasikia kabudi amesema kwamba hakuna vita tulivyo shindwa katika historia alitaja nchi kadhaa ambao JWTZ wamewahi kufanya operation. Katika diplomasia ya mataifa mbalimbali neno linalohusisha matukio ya jeshi humaanisha kwamba serikali iliyopo...
  15. Luther samwel

    Records za Tanzania kimataifa

    tunazungumzia vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania ondoa ubishi nenda kaperuzi list ingawa Egypt ndo inaongoza kwa watalii takribani million 10
Back
Top Bottom