babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,145
- 27,335
Wacha nikupe magazeti ya huko kwenu na usipo ridhika utapewa zingine.Where is your source, stop bringing us snapshots.
Kulingana na ripoti hiyo, jumla ya raia 5,553 wa Tanzania waliorodheshwa miongoni mwa watu wenye mapato ya juu mwaka uliopita, ikiwakilisha ongezeko la asilimia nane ikilinganishwa na matajiri 5,118 mwaka 2018 na 3,000 mwaka 2014.
Kulingana na ripoti hiyo , taifa hilo la John Pombe Magufuli ndilo taifa la pekee Afrika Mashariki kuwa na bilionea wa dola za marekani ambaye ana thamani ya dola bilioni moja au zaidi.
Tanzania tops East Africa on wealth list
The country produced a single individual controlling a net wealth of $1 billion in 2019.
www.theeastafrican.co.ke
Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires
An estimated 499 Kenyans dropped from the rank of dollar millionaires last year, highlighting how the impact of Kenya’s soft economy has hurt persons who each had a net worth of more than Sh100...
www.thecitizen.co.tz