Recent content by Luteni

  1. Luteni

    JamiiForums Tanzania Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Ukawa wasiwe wazito, Mfano leo wametangaza Jimbo la Makunduchi Magufuli 8,406 Lowassa 1,769, wao kama Ukawa waseme matokeo ni sahihi ama la.
  2. Luteni

    JamiiForums Tanzania Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Tume imeanza kutangaza matokeo halisi ya urais kutoka kwenye majimbo kadri wanavyoyapokea, ambapo hadi sasa tayari matokeo ya majimbo matatu yameshatangazwa yakionyesha John Pombe Magufuli anaongoza. Kwa upinzani makini ni wakati mwafaka muwe mnatoa tathimin ya matokeo hayo. Tathmini yenu...
  3. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Sidhani kama unajitambua pamoja na kutoa mfano ya 2010 nina wasiwasi kama umenielewa, sidhani kama jeshi ni wajinga kukamata kila mtu anayelipongeza.
  4. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Nano amelihusisha kulipongeza ni kulihusisha?
  5. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Usikalili soma tena nilichoandika.
  6. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Kazi yao siyo kuunga mkono upande wanafuata maadili ya jeshi.
  7. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Sawa jeshi linaweza kuwa linaamini chama fulani lakini sio kujionyesha wazi, ndiyo maana tunalipongeza jeshi letu kwa kufuata maadili ya kijeshi.
  8. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Sijakuelewa trh 25 jeshi litafanya nini?
  9. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Lipi ambalo unaona lina utata.
  10. Luteni

    JamiiForums Tanzania Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, aliyekuwa Mnadhimu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Abdulahman Shimbo aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kuvitaka vyama vya siasa kutokugomea matokeo ya uchaguzi kwa madai ya kulinda amani ya nchi. Kauli ile ya Shimbo ilichukuliwa na wengi...
  11. Luteni

    JamiiForums Tanzania Kingunge kukutana na Wanahabari kesho saa 5 asubuhi Serena Hotel kujibu Mapigo

    CCM imetekwa na vijana wasiokijua chama wazee na waasisi hawathaminiwi, vijana wameachwa wafanye wanachotaka, Nape anawatukana wazee kina Lowassa hata hakemewi Makonda anampiga ngumi mzee Warioba kesho yake mwenyekiti wa chama anampa u DC kuna chama hapo?
  12. Luteni

    JamiiForums Tanzania IGP Mangu amekiri, JWTZ wamekana, NEC kimya

    Mtu akikiuka au kuvunja sheria kwa makusudi utakuwa unajidanganya ukisema kinachofuata ni amani.
  13. Luteni

    JamiiForums Tanzania IGP Mangu amekiri, JWTZ wamekana, NEC kimya

    Ndugu wanajamvi, Najaribu kuangalia na kulinganisha utendaji kazi wa vyombo hivi vitatu muhimu vya serikali. Jana tumemsikia IGP Mangu akikiri kuwa ni kweli kuna baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi wameripotiwa kufanya uhakiki wa vitambulisho kwa askari wake kujua iwapo wamejiandikisha...
  14. Luteni

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Mbowe, Lema wajisalimishe ubalozi wa Marekani

    Kuomba hifadhi haina maana ya kupata msaada 'physical benefit' tu bali kuuanika utawala dhalimu unaojificha chini ya kivuli cha amani, utulivu na demokrasia ya vyama vingi huku matendo yao yakiwa ni kinyume kabisa, faida nyingine ni ku-draw attention kwa mashirika mbalimbali ya kimataifa...
  15. Luteni

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Mbowe, Lema wajisalimishe ubalozi wa Marekani

    Kwanza, ukiangalia kwa umakini lile bomu lililenga kumuumiza au kumuua kabisa Mbowe na ukirejea sms ya mkuu wa mkoa Arusha kuwa atamtafuta Lema kwa njia nyingine, basi utakubaliana na mimi kuwa anaweza kufanywa chochote na serikali hii. Pili, kujisalimisha kwenye balozi si woga bali ni strategy...
Back
Top Bottom