Huu ni ulimbukeni wa siasa ndugu zangu. Hivi kufukuza ndio dawa ya kusafisha chama! La hasha njia sahihi ni kuyafuta sababu za kwa nn wamuunge mkono na si maamuzi ya kamati kuu. Hapa lipo tatizo la msingi. Ipo siku Slaa nae atafungasha vilago vyake maana sasa ni zamu yake kufukuza viongozi...
Mbunge hana uwezo wa kupeleka maji kwa wananchi ww sema serikali imesikia kilio cha mbunge na kupeleka maji kwa niaba ya wananchi. Unajua miradi hiyo ya maji imeghatimu bei gani? Je muulize mbunge wsko kama fedha hizo anazo au aluwahi kuota kuzipata. Acha ushabiki bila tafakuri mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.