Kwacha naskia wamebadili pesa zao mfano ile iliyokua kwaxha 1000 sasa inaitwa kwacha 1, iliyokua kwacha 10000 sasa ni kwacha 10 nakuendelea. Fuatilia hata tarehe za hizo fedha ni za miaka ya karibuni tofauti na zile za zamani ambazo hazikua na thamani dhidi ya tsh
Mwanza amna kitu kule hebu tuambie kitu gani unique kilichopo kule ukianzia majengo marefu hoteli kali na kumbi kubwa za starehe, Mwanza ni mji uliojaa washamba tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.