Recent content by LUQQMAN

  1. LUQQMAN

    Msaada: Nina huruma kupita kiasi, siwezi hata kuchinja kuku

    Huluma yako ipeleke hadi kwenye kuto kumla swa huwenda ikawa dwa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. LUQQMAN

    Kwa hizi albadiri nilizozishuhudia leo hakyanani tujiandaeni kwa Msiba mzito Tanzania

    Natamani kuona kitabu chako cha albadili kikija na hawamu ya pili ila unapomiusudia mwenzio kwa alibadili angalia usije ukaua na upande wako Sent using Jamii Forums mobile app
  3. LUQQMAN

    Mbowe anapoitangazia Dunia kuwa Tanzania si mahali Salama ana maana gani?

    Tanzania ya ssa ni tunda linalopendeza nje lakini ndani limeoza wacha aseme mana hatuwezi tena endelea kula funza Sent using Jamii Forums mobile app
  4. LUQQMAN

    Clouds kwa hili la Clouds Plus mmezidi!

    Sent using Jamii Forums mobile app
  5. LUQQMAN

    Clouds kwa hili la Clouds Plus mmezidi!

    Haya mambo mengine yawe nami mapka basis hata kma kutafuta cyo tena kihivi yani ulipie king'amuzi alafu bado tena ulipie channel iliyoopo kwenye king'amuzi yani ni swa nakulipia ving'amuzi viwili kwa wakati mmoja wapiga dili bado wapo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. LUQQMAN

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Hao wote dereva na walinzi walitakiwa kushikiliwa na jeshi la police kwa mahojiano pamoja na kuwekwa ndani ili kudhibiti ushahidi na amani kwao ila kma tukio llipagwa na wakuu move inaendelee wanatuzuga tu sasa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom