Recent content by Luqnation Tz

  1. Luqnation Tz

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Akili ipi anayotakiwa kuitumia ikiwa akili aliyoitumia mwanzo imemuangusha?.
  2. Luqnation Tz

    JINSI YA KUDOWNLOAD JOINING INSTRUCTIONS FORM.

    Hakuna sehemu kumeandikwa hiki kitu.
  3. Luqnation Tz

    Usiogope kutishwa na kukata tamaa, Mtu akisema maisha ni magumu, wewe thibitisha kuwa maisha ni mepesi

    Hii ni moja ya thread iliyoianza siku yangu vyema kabisa, shukrani sana kaka. You have inspired me.
  4. Luqnation Tz

    Mashabiki wa Mange Kimambi mmeshapata salamu za rambirambi toka kwake?

    Gonga like kwa wasoma comments kama mimi..
  5. Luqnation Tz

    JINSI YA KUDOWNLOAD JOINING INSTRUCTIONS FORM.

    Wakuu naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye kufahamu namna ya kudownload joining instructions form hasa chuo cha mifugo Mabuki..
  6. Luqnation Tz

    Tupeane taarifa vyuo vilivyotoa selection nacte (diploma na certificate)

    Nimeona mkuu.. 22 Sept-04 Oct.. Hii ni verification kwa selected students, hii ina maana hiyo verification wanafanya wao wenyewe eenh?.
  7. Luqnation Tz

    Tupeane taarifa vyuo vilivyotoa selection nacte (diploma na certificate)

    Hakika yangu ni hii; kufikia tarehe 27 matokeo yatakuwa tayali.
  8. Luqnation Tz

    Tupeane taarifa vyuo vilivyotoa selection nacte (diploma na certificate)

    Tarehe 22 ndio ilikuwa tarehe ya mwisho kuwasilisha majina ya waliotuma maombi. Hivyo kuanzia tarehe 23 huwenda matokeo yatatangazwa.
  9. Luqnation Tz

    Ni lini zitatoka selection kwa waliotuma maombi katika vyuo vya mifugo na uvuvi?.

    Msaada wenu wakuu kwa mwenye kufahamu kuhusu hii kitu.
  10. Luqnation Tz

    NACTE yatoa mwogozo kwa ngazi ya certificate na diploma

    Wewe pia huwenda ukawa umelielewa tofauti tangazo hilo. Kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba, hawajatangaza tarehe rasmi ya kutoa selection ila mwisho wa kuwasilisha majina ni tarehe 22 baada ya tarehe 22 ndio selection zitatoka, pengine inaweza ikawa 23,24,25,26......
  11. Luqnation Tz

    Ni lini zitatoka selection kwa waliotuma maombi katika vyuo vya mifugo na uvuvi?.

    Ama kwa hakika itatubidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Luqnation Tz

    Ni lini zitatoka selection kwa waliotuma maombi katika vyuo vya mifugo na uvuvi?.

    Mkoje na hali Wakuu wa JF?, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo huu, binafsi na kwa maslahi ya wengine wasiofahamu hili nilikuwa naomba kufahamishwa ni lini selection zitatoka kwa waliotuma maombi vyuo vya mifugo na uvuvi ambapo udahili wao ulifungwa tangu July 30.. Sent using Jamii...
  13. Luqnation Tz

    TCU wametoa ratiba mpya ya waliodahiliwa vyuo mbalimbali

    Hivi hii ni kwa wote waliotuma maombi ikiwemo vyuo vya mifugo na uvuvi?. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Luqnation Tz

    Tunzi

    Endelea Mkuu. Mbona umeikaitisha kaka.. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom