pole sana bruno kwa kusoma miaka yote dmi na kutojua kama iyo idara si ya kikatoriki, mimi nilikuwa st joseph iyo ya arush intake 2014 lakin niliterminate kwa ajili ya uozo wa hko chuo na tulifuatilia mpaka Tec dar na walisema hawakitambui kama ni chuo cha kikatoriki na hata baraza la maaskofu...
USHAURI WA BURE ;
Tcu imetoa majina ya wanaotakiwa kufanya second round, endapo ukitemwa ili ufanye second round usichague st joseph university arusha campuc au tawi lake lolote hata kama itakuwa pekeake kwa maelezo zaidi nicheki hapa 0653474767
Hiyo panic Ya kuona wenzako wamekta mitopic cha msing sali sana kwa iman yako, pia fanya mazoez kila cku jion, kwa muda uliobak solve sana maswal kwny vitab kama chand 5 na 6, pure 1na2, tranter, roger na pia soma concptuals
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.