Yaan Ma
Yaan Mabeyo atakuwa anajilaumu sana.Kumwachia nchi mama,halafu mama anaanza kuongozwa na JK.Ujinga kweli.Mara Mafuru amerudi.Mara makamba.Halafu vijana kibau hawana ajira.Halafu wanaopewa vyeo wenyewe ,hawana history nzuri ya elimu.
Yaan anapoteza muda mwingi ,anamwingelea MTU ambaye hayupo.Namshauri huu muda anaopoteza angekaa na wanafamilia wake ,amuombe Mungu wake.Kwa kuwa uzee umeshamkamata.
,
Nimejaribu kuisoma hiyo habari hapo juu,nimeona ni uchafu na takataka.Hivi Marehemu Raid wetu Magufuli baba yetu,hawa watu wa hovyo hovyo watamweza kweli?Ahaaa wapi!!Hata wakiungana !!Kwa ufupi hata hill gazeti pia ni uchafu na taka taka.Eti Magufuli ni Mrundi?Ndio maana nyerere alikuwa hapendi...
Mkuu nashukuru sana kwa analysis nzuri uliyofanya.Nape sijui hata kama anajua maths.Hivi vitu ni vya wataalam wa model za econometrics. Nape anaamini kuwa kupiga kelele sana ataonekana anafahamu.Nape sijui hata kujumlisha na kutoa anafahamu.Na hajui kuwa anajenga uadui na watu wengi zaidi.
Huyo si jasusi ,bali ni mpika majungu hodari sana.Ana miaka 68 bado hajitambui kabisa.Hapa bongo ,nchi yetu ni ya ajabu sana.Tunapenda kuwasifia wahuni wasio na uelekeo wowote.Eti jasusi mbobezi.Mbona hana hata uelekeo wowote.Hana tofauti na Mambe kimambi tu.
Ukimwangalia Membe jinsi alivyo .Hana uwezo hata wa kuongea.Hana ushawishi wowote.Hana mvuto wowote .Mnamwita shushu mbobezi.Anaongea kama MTU asiye na elimu yeyote.Hawa wote wanaotoka mafichoni ni wale wanafiki ,ambao masilahi yao binafsi yaliminywa na Magufuri.Sasa wanatueleza ili tuwasaidie...
Yaan mtoa,mada ,anaona Ridhiwan Kikwete,January Makamba ndio wanafaa kuwa viongozi.Yaan Tanzania ni ukoo wa Kikwete ,Makamba basi.Yaan vijana mageneous waliopo mitaani hawafai kabisa.Tunataka katiba mpya
Huyu alipopewa madaraka kwa njia katiba tu.Kuna kikundi cha watu ,ambao wanaamini wataishi milele.Na ambao wamekuwa wanamtukana Marehemu Magufuli kwa kutumia viredio uchwara.
Wanaamini kuwa kuwafukuza wamachinga,ni kuharibu mambo ya JPM. Tatizo sio wamachinga, tatizo ni JPM.
Majibu dha
Majibu ya makamba ni dhaifu ,na yanadhibitisha kuwa hana uwezo wa kuingoza wizara .Anashindwa kujibu ,ideology anajibu mipasho.Eti awe Rais ,kwa kigezo kipi.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.