Recent content by Lupalilo ngwada

  1. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkutano wa Polepole na waandishi wa habari wasababisha Mitandao yote ya kijamii kuzimwa na mamlaka nchini Tanzania

    Ko slow slow anajambisha serikari mpaka wanauza mitandao!?basi huyu jamaa anatisha sana.na mabeyo kapewa cheo ili kumzima
  2. L

    JamiiForums Tanzania Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

    Anatembea na mawazo ya wadudu.mweeeh
  3. L

    JamiiForums Tanzania *Sadaka ya kwanza ni ile ya kawaida na sadaka ya pili iwe ni sadaka ya UKOMBOZI

    Ko walioko kwenye Dola ni wabinafsi?
  4. L

    JamiiForums Tanzania CCM yalaani shambulio dhidi ya Padre Dkt. Charles Kitima

    Tunaposema CCM ni chama Cha majambazi muwe mnatuelewa.natabiri huyu mama kuchezea watumishi wa Mungu.mbingu hazitamwacha amalize muhula unaofuata.kwa Sheria za sisi waislamu ni haramu kuongozwa na mwanamke.mama akae pembeni.na ninyi polisi mnajitafutia laana bure.mwangalieni mahita anavyochoka...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amebeba jukumu la kusomesha familia ya Hayati Magufuli

    Wanasomeshwa kwa mujibu wa Sheria sio hisani ya mama samia.kama ni huruma anisomeshe na Mimi.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Serikali haiwezi kuajiri kila mhitimu wa Chuo

    Arudi JK.tumechoka h g wenu cheeeh.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Serikali haiwezi kuajiri kila mhitimu wa Chuo

    Awamu ya sita ijifunze kwa kikwete.pamoja na ufisadi bali aliajili walimu wote tena bila kutuma maombi.ni mifuko unakufuata.hakuna aliyelialia mtaani kuhusu ajira.awamu hizi mbili shida Nini!?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Jamaa la hovyo hili.cheeeh.ndo haya yanakufaga vifo vibaya sana
  9. L

    JamiiForums Tanzania Dereva aliyepiga kelele za kutekwa Tegeta ashikiliwa na Polisi, TRA wasema wawapo kazini hawahitaji KIBALI cha Mahakama.T229 DHZ ni Bus siyo BMW!

    TRA KUNA SHIDA KUBWA SANA.WANAFUKUZIAGA KWA MANUFAA YAO.KUMBUKA WALE WALIOKUFA TUNDUMA.NAO WALIKUWA WANAFUKUZIA WALE MCHONGO.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi ataka Elimu ya Biblia itolewe shuleni kuanzia Chekechea hadi Sekondari na Biblia zigawiwe Bure ili kulinda Maadili

    Kufundishwa biblia Wala kurwani hakutasaidia.kikubwa watu wafundishwe kumcha Mungu.maadili yatakuwepo.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Achana nae mapema.utanishukuru baadae
Back
Top Bottom