Nashukuru kwa msaada wako wa mawazo lkn kabla ya kufikia hatua hii kubwa na kutangazika kwa hbr zaidi nilishawai zisikia hizi hbr na mke wangu nlimuoji na akasema mtoto ni wangu lkn yule jamaa aliwai tembea nae kipnd me nimeenda machimbo mara ya mwsho sbb nilikaa kipnd cha miezi 3 sikurud lkn...
Mke wangu wa ndoa kihalali lkn kesho ntaenda kupima DNA ya yule mtoto kwanza afu ntafata taratibu za kumshitaki yule kijana pia napenda niwashurukuru sana kwa mchango wenu wa mawazo ntayafanyia kazi yte
uyu mke wangu nimeongea nae kanambia yule kjna katembea nae lkn cku za nyma kipnd me nko machimbo lkn Kasema mtoto ni wangu na yule kijana nae pia alifanya maongezi na kaka sbb nimeshindwa cz nina hasira sana lkn alisema mtoto ni wake na ata hela ya dna yuko tayali kulipa yye
Me ni kijna wa miaka 30 nilibahatika kupata mtoto kipndi nina miaka 25
lkn baada ya maisha kua magum nikaenda machimbo kusaka chochote kitu ili familia yangu isife njaa lkn nikawa narudi mara kwa mara kwa mwenzangu kumpa pesa ya matumiz na kila kitu kinachoitajika kwenye ndoa na familia
Lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.