Recent content by LunyunguJ

  1. L

    Wataalam naombeni ushauri wenu

    kasome post graduate, vinginevyo hiyo master utakuja kuijutia. hiyo social science ulikuwa na GPA ya ngapi? maana pungufu ya 3.5 NI MSALA.
  2. L

    Msaada: Gharama ya postgraduate.

    kwa udom(ada ni kama milion moja, hostel laki 6) hadi kumaliza masomo
  3. L

    Mishahara ya wakufunzi wa vyuo vya ualimu ni tofauti na waalimu wa secondary?

    acha kudanganya watu. mkufunzi wa chuo cha ualimu kwa degree anaanza na 769000 bila makato wakati mwl wa degree anaanza na 589000
  4. L

    Mishahara ya wakufunzi wa vyuo vya ualimu ni tofauti na waalimu wa secondary?

    mwl mwenye degree anaanza na 589000 wakati mkufunzi wa degree anaanza na 769000. tofauti ndo hiyo na hapo bila makato
  5. L

    Kuomba nafasi za vyuo vya Ualimu mwaka 2014

    katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bado hajatoa taratibu za utumaji maombi. Uwe na subira
  6. L

    Ni vitu gani muhimu Mwalimu unavyotakiwa kuwa navyo wakati wa kuripoti kazini?

    unatakiwa kuwa na cheti cha kuzaliwa, chet cha f.4 na 6 pamoja na academic transcript.
  7. L

    Depo la Uhamiaji

    kwa yeyote mwenye taarifa za depo la uhamiaji kwa wale wa mwaka jana lilianza mwezi upi na ilikuwa ni miezi mingapi?
  8. L

    Mfuko bora wa pesheni ni upi kwa walimu watarajiwa?

    PSPF NDOO MPANGO MZIMA. UKIJIUNGA NA LAPT UTAKUJANIKUMBUKA. Washauri na rafiki zako unaowapenda na kuwajali. PSPF ndo mfuko wenye mafao matamu.
  9. L

    Nisaidie Kijana Mwenzako

    hujasema matokeo yako ya mtihani wa fomu six yalikuwa vipi. Weka wazi matokeo ndo utapata ushauri unaoendana na hitaji lako
  10. L

    Mshahara kwa ngazi ya mkaguzi msaidizi uhamiaji/ zimamoto

    hii asilimia 15 ya pango unacalcutate vipi?
  11. L

    Wanavyuo vikuu tusaidiane ni kweli kuna akili ndogo na akili kubwa?

    ndiyo, kuna akili kubwa na ndogo na ndiyo maana ktk mitihani kuna wanaopata div one na wengine wanapata sifuri ili hali wanafundishwa na walimu wanaofanana
  12. L

    Haya ndio matokeo yangu nishauri nishauri nichukue kozi gani chuo maana sitaki 6

    Acha njia za mikato mdogo wangu, nenda A level and then ndo uanze kutafuta chuo. Elimu ya form four haina dili mdogo wangu . nafikiri umenielewa
  13. L

    Je mfumo wa zamani ungetumika matokeo form yangekuwaje?

    ungetumika wa zamani ungepunguza idadi ya division one bt ziro zingebaki vilevile
  14. L

    Div III ya 31 wanaweza kwenda A-level kwa mtokeo haya?

    matokeo yako ni mazuri sana. utaenda kwa combination ya hgk. Hongera sana kwa ufaulu mzuri kwani combination yako imekaa vizuri
Back
Top Bottom