Desimali ipo, ila uweke namba kuanzia 1-9.ukiweka sifuri baada ya desimali inagoma.hiyo ni shida ya app yenyewe, unaweza kujaribu app nyingine zinazofanana na hiyo
Bado sijafanikiwa kupata kazi ndugu zangu, vibarua imekuwa ni changamoto kupata. Nipo ifakara mjini, Kwa mwenye uhitaji wa kibarua kwa kazi yoyote halali nipo tayari.
Hata kuupata huo kwa siku unashukuru, Ila MUNGU ni mwema anatupa uhai na nguvu ya kuendelea kupabana japo mambo bado ni magumu yani kila siku ni afadhali ya Jana.
We acha tu ndugu, hapa nilipo nawaza na sipati jibu, yani najiona kabisa nimekonda.But sijakata tamaa, naamini MUNGU atanivusha hapa, japo bado naona Giza mbele yangu
Sijawahi kuwaza Kama ntakuja kupitia nyakati Kama hiz, Leo asubuhi nimeamka sina hata Mia na Nina familia inanitegemea.pamoja na kuzuguka kote nimeambulia buku 2 na mpaka sasa sijui kesho itakuaje.
Kama Una kazi iheshimu Sana, usiombe kuwa kwenye situation niliyonayo Mimi wakati huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.