Mwiko mwanangu kulelewa na Mama wa kambo kama mama Yale bado nipo hai.neshuhudia matukio mengi wacha ya kusimuliwa.
Baba Hana muda wa kulea mtoto muda no mchache sana
Kwani wanaume wangapi wanachepuka na wanazaa nje na michepuko.
Alafu hata we usikute unajihisi uko peke yako kumbe mmepangwa foleni Mia kidogo.au ndio Bora mume achepuke kuliko kuoa.
La peke yako kaburi pekee vingine vuote vya kishare
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.